NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Mkuu hebu soma juu alivoandika prof Ndumilakuwili.Tembea uone mengi mkuu kama hujatambea duniani huwezi jua kwanini nimeuliza swali hili.
Nenda mahoteli makubwa ya kitalii agiza nyama inaitwa Turkey(Bata mzinga) kisha uniambie ni shs ngapi.
Bata mzinga mmoja mkubwa sana bei yake ni shs laki mbili je kuku wa mitaani wa wakaanga chips mmoja anauzwa shillingi ngapi?.
Wazungu wakati wa Christmass ni fahari kubwa sana kwao kuchinja Turkey.
Nimefanya utafiti sijakurupuka kuuliza wadau ukiwa na hivi nilivouliza soko lake sio mitaani ni mahoteli makubwa makubwa tena wanakufuata wenyewe.
Hivi vitu viko Supermarket tu kama unataka nyama yake.Sasa nikuambie kitu kingine huwezi amini je unajua Sungura ni dili moja kubwa sana mpaka mkojo wake unauzwa?
Nenda Kenya Nairobi ndio utajua.Hata hivyo mkuu watu wengine mtu mwingine anaamua kufuga kitu just for funny and hobby kama mapambo tu.
Hata hivyo nashukuru kwa changamoto kukubali kukosolewa ni jambo zuri
Nenda mahoteli makubwa ya kitalii agiza nyama inaitwa Turkey(Bata mzinga) kisha uniambie ni shs ngapi.
Bata mzinga mmoja mkubwa sana bei yake ni shs laki mbili je kuku wa mitaani wa wakaanga chips mmoja anauzwa shillingi ngapi?.
Wazungu wakati wa Christmass ni fahari kubwa sana kwao kuchinja Turkey.
Nimefanya utafiti sijakurupuka kuuliza wadau ukiwa na hivi nilivouliza soko lake sio mitaani ni mahoteli makubwa makubwa tena wanakufuata wenyewe.
Hivi vitu viko Supermarket tu kama unataka nyama yake.Sasa nikuambie kitu kingine huwezi amini je unajua Sungura ni dili moja kubwa sana mpaka mkojo wake unauzwa?
Nenda Kenya Nairobi ndio utajua.Hata hivyo mkuu watu wengine mtu mwingine anaamua kufuga kitu just for funny and hobby kama mapambo tu.
Hata hivyo nashukuru kwa changamoto kukubali kukosolewa ni jambo zuri
Moja ya mambo yanayo cost Watanzania ni kufanya vitu kwa mapenzi binafisi.
Mkuu unatakiwa kujiuliza je hao ndege hapo juu utakuwa unatatua kero ipi moja wapo?
Je pita pita zako usha kutana nao wakiuzwa sokoni? kama sio kwa nini?
Je mtaani kwako ukifanya sensa ya walio kula Bata mwaka huu utapata watu? make unaweza usipate na hata ukaambia huwa sili.
Hizo tajwa hapo juu watu hawana utamadunia naza, sawa wanaliwa ila utamaduni hakuna,
Wewe ukifuga hao na mwenzako akafuga kuku wa layers ar Broiler hutakaa ushindane yaye.
Na ukiona mteja anakuja kununua kwako basi jua anaenda kufuga na yeye sio anaenda kuchinja.
Hizo ndege ziko line moja ba Kware, Sungura, watu hawana utamaduni navyo
Sent using Jamii Forums mobile app