Tena, kwenye suala la vijana wanaofanya vumbuzi mbalimbali ndio la kutilia mkazo, kuna yule kijana aliyekuwa na Redio yake kule Kigoma asiishie tu pale serikali impeleke mbali zaidi maana ana kipaji kikubwa sana. Hongera kijana kwa kufungua fikra zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.