Recent content by EliteHacker

  1. E

    JamiiForums Tanzania Amos Makalla: Ukosefu wa maji ni kudra za Mungu wala sio ilani ya CCM. Ilani haiwezi kuleta mvua

    Tanzania ina vyanzo vingi sana vya maji tofauti na mvua na ni miongoni mwa nchi za maziwa makuu
  2. E

    JamiiForums Tanzania Kwa hili bora waniue tu. Sio Makamba wala Rais nina imani nao kuhusu mradi wa Rufiji. Tumepigwa

    Kaa ukifahamu kwamba, watu wa Pwani na Zanzibar siyo watu wa kazi ngumu.
  3. E

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    Kuna influence ya huo uharibifu ambayo kwa akili ya kawaida ni ngumu kujua, mipango imepangwa kwa akili kubwa sana na ikapangika, tunajikuta tunaangukia mulemule.
  4. E

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    Suluhu ya hili tatizo la underdevelopment katika nchi za Africa, kwa sasa lipo mikononi mwetu. Ijapokuwa hatutapata faida ya papo kwa hapo, lakini tuviweka vizazi vijavyo katika nafasi nzuri ya kujinasua kwenye huu mtego.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    kwani nani ameiharibu jamii yetu..?
  6. E

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    Kwa kutumia hiyo silaha wametumaliza, ukiweza kumwaminisha mtu kuwa yeye ni taahira na akaamini, basi hata matendo yake atayafanya kama taahira.
  7. E

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    Wazungu ndio wamekufanya uamini kwamba wewe ni maskini wa akili tangu hawajakutawala, lakini kiukweli ni kwamba akili unayo, lakini wamecheza na sayansi kuweza kukufanya uamini kuwa huwezi kufanya kitu. Ukiweza amka mkuu, maana hii ni vita.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?

    Ni sawa waliumia, lakini waliumia kwa namna nyingine, factor kubwa inayosababisha ongezeko la bei ni bei ya umeme kwa unit. Tanzania tungeweza kufua umeme kwa wingi na kuuza kwa bei ya chini ingesaidia sana kupunguza mfumuko wa bei na kuhamasisha ongezeko la viwanda kwa wingi sana.
  9. E

    JamiiForums Tanzania Confirmation code

    Mkuu confirmation code ni kwa Degree pekee..? Au na Diploma inahusika..?
  10. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: selection za diploma udom

    Ahsante sana kwa post yako. Ningependa pia kuuliza; Mtu ukichaguliwa diploma hapo UDOM, kuna haja ya ku-confirm..? Au Ku-confirm ni kwa Degree pekee..?
Back
Top Bottom