Naomba mawazo nataka nitengeneze program ambayo itumike kuzuia watu wanaorudia research. Yaani research ikiingizwa ilete watu ambao wamefanya hiyo research.
Ina maana research zote zilizofanywa zitatunzwa ahlafu kama mtu akirudia basi program igundue
Habarini wakuu naomba msaada
Nimemaliza Degree ya Education masomo ya Physics na Computer Science. Je naruhusiwa kufanya Post Graduate ya Computer Science maana me Ualimu siuwezi, nimesoma coz 11 za computer science
Jamani wataalamu wa data base nikikuwa na submit data kwenye data base kwa kutumia html form
Kila niki submit inaleta fetal error
Kam hivo mimi bado najifunza ko nambie tatizo nifahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.