KUJIONA | KUJIPENDA | KUJIJALI
Jambo lolote unalohisi haupewi ni kwa sababu hauna, ukiona mtu analalamika hapendwi ndani yake yeye ndio upendo hamna, mtu akisema anadharauliwa ndani yake dharau zimejaa, vivyo hivyo kwa kupoteza kipaumbele chako mwenyewe.
Hii ni kwa sababu ukiwa na kitu ndani...
Afya ya akili haipimwi kwa vile tunavyofanya peke yake, ila ni pamoja na vile tunavyokataa kufanya moja ya nguvu kubwa ya kuwa na afya bora ya akili ni uwezo wa kusema hapana, kama kwako neno hapana ni gumu kulitoa hata kama unaona haiko sawa tambua ubora wa afya yako ya akili una shida kuna...
Ni kweli kabisa na watu kwavile hatupendi majukumu tunamuacha aendelee, sio shida zetu kumbe baadae anaweza kuja kuathiri kizazi chako bila hata wewe kutegemea.
UBORA WA AFYA AKO YA AKILI.
Ipo haja kubwa ya kutoa elimu zaidi kuhusu maana ya afya ya akili na jinsi ya kujitambua iwapo uko na changamoto hii, watu wengi wanahesabu afya ya akili ni ukichaa ambapo imani hii inawafanya hata wanapokuwa hawako sawa wanaona ni kawaida.
Lakini kwa uhalisia...
MAPAMBANO YA SIRINI.
Jambo la msingi sana kutambua kwenye haya maisha ni kwamba haijalishi unamuona mtu yuko vizuri ama amefanikiwa kwa kiasi gani tambua yuko na mapambano yake sirini, na mapambano ya sirini yanabaki ni siri ya mtu huenda usiyatambue kabisa kwa sababu mbele ya macho yako unaona...
Wanainuana kwa kupeana nafasi za ajira na fursa, kwa watu wa mzunguko wao hivyo kwa aliefanikiwa utakuwa ameshawasaidia kupata kazi watu wengi ambao wako kwenye mzunguko wake wengi, hii inaweza kuwa moja kwa moja kwenye kazi yake ama sehemu nyingine alipoona fursa ipo ya mtu wake wa karibu...
Kunyanyuka kwako kunakuja kwa kuwanyanyua wengine, usipambane sana kutoka wewe mwenyewe kwenye mzunguko wako, utarudishwa nyuma sana na kulalamikia sana wengine kwa sababu utaona wanafanyika mzigo kwako, lakini hebu jitahidi unaponyanyuka mshike mkono na mwingine/wengine mara nyingi uwezavyo...
Kwahiyo kuna haja ya kumjua shetani zaidi ya Mungu, sio kwamba kwa vile Mungu alishamshinda shetani tumtumie yeye na mbinu zake kumshinda.
Na hakuna mahali shetani amechukuliwa poa ndio maana imeandikwab anaunguruma kama simba hii ikionyesha mfano wa mnyama, siha na uwezo wake lakini Yesu...
Nnahitaji kijana mwenye uwezo mzuri wa kutumia vizuri kompyuta, kwa kazi ya kusimamia akaunti zangu mtandaoni.
Vigezo : Awe na kompyuta binafsi na uwezo wa kutumia vizuri mitandao ya kijamii
Mahali : Awe ndani ya Dar es salaam, hasa jimbo la Kawe
Mshahara : Tshs 150,000/=
Ikiwa unajiona unafaa...
Ndio asiekuwa na elimu ni mjinga.
Mjinga ni mtu asiekuwa na eulewa ama maarifa ya kitu,ujinga sio tusi ni hali ya kawaida kwa kila mtu.
unaweza kuwa mwerevu hapa ila ukawa mjinga kule ni hali ya kawaida, sasa ikiwa umepata elimu (Maarifa) ukishindwa kuitumia ni mjinga pia.
Na pia Elimu sio...
Kila mtu anazaliwa na akili na uwezo wa kutambua mambo, lakini unapopokea elimu ni kuongeza maarifa ya kulitambua jambo kwa undani zaidi, usijifungie kwenye chumba cha makaratasi ya uthibitisho kuwa ndio elimu yako, ila tumia uwezo na maarifa kuwa ndio elimu yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.