Ndugu zangu, kwa unyenyekevu kabisa tunaomba Spika aonyeshe kwa vitendo na kwa adhabu atoazo kuwa upinzani sio wanaokosea tu hata ndani ya ccm wapo wanaokosea. Adhabu kwa MH.Masele kuomba mwenyewe asamehewe ni ishara ya mhimili huo kukosa double standard katika kutoa adhabu. Tumeshuhudia...
Watu siku hizi wamekuwa walemavu wa fikra, sasa huu uzi unamantiki gani wakati haujabeba maudhui yote? Soma gazeti la mwananchi kwenye mtandao utapata vyooooote alivyosema Mh. Masele?. Mbioo zooote hizi za nini, uzi kwa kijinga kabisaa huu ufutwee
Wana Jamvini habari ya Chrismas,
Ndugu zangu nimelazimika kunukuu hayo maneno ya Mh Mbowe am bayo aliyatoa siku moja alipotakiwa kukamatwa na jeshi la poilisi mjini Dar.
Nilifarijika sana na maneno ya kiongozi wangu huyo kipindi hicho, hivi leo Mh Mbowe amepoa sana kiasi kwamba inaonekana...
Wana jamvini Nawasalimu. Mods msifute uzii huu.
Nimesoma kwa makini maelezo yako na jinsi ulivyokuwa unajaribu kujibu hoja hasa hasa kuhusu Ben saanane. kwanza kabisa niwie radhi kwa haya maoni yangu juu ya hoja zako hizo ambazo hazina mashiko kabisaaa kwa swala la kupotea kwa Ben saanane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.