Recent content by Elimuta

  1. E

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Naomba uthibitishe hilo dai lako la kumuhusu Paul
  2. E

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Mkuu wewe ni noma...Biblia ina watu wengi type za akina Paul lkn wewe ukamua kumdissaprove Paul, what is your interest? Kingine Biblia inasema Yesu alikuja kuitimiliza taurat wewe unasema Kuitukuza asee!
  3. E

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Naona umechagua kutokumuani Paul kama vile wengine walivochagua kutokumuamini Yesu....kichwa ni chako na akili ni ya kwako unaweza kuamua kuchagua chochote kwa kujenga hoja yoyote.
  4. E

    Hivi kwanini devil worshippers wengi wana IQ kubwa kuliko Muslims/Christians?

    Absolutely Sent using Jamii Forums mobile app
  5. E

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    Hata shetani (Rucifer) ni popular lkn hawezi kumfikia Jehovah God! Don't be cheated with famous and popularity Sent using Jamii Forums mobile app
  6. E

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    Hacha kutoa povu...kwa kifupi ni kwamba quran ina vifungu vinavyohalarisha haya matendo ambayo wengine wanayatafsiri kama uovu na ukitaka nitakuorodheshea mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. E

    Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

    Swala la chumvi kufukuza siafu, nyoka, na preservation, sio swala la imani linaelezeka kisayansi kama pesticide na preservative. Chukulia mfano mafuta ya taa, mkojo wa binadamu vinafukuza siafu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. E

    Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

    Kwa nini unapata shida kuweka imani yako katika chumvi na baadhi miti vilivyotengenezwa na Mwenyezi Mungu siku moja? Mungu mwenyewe katuhakikishia ulinzi wetu wa nafsi, mwili na roho zetu basi tuweke imani yetu kwake. Ukishafanya mambo ambayo ni kinyume na maelekezo ya Kimungu basi ujue...
  9. E

    Hivi kwanini devil worshippers wengi wana IQ kubwa kuliko Muslims/Christians?

    Mbona ya kwako 666 sio kubwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. E

    Wanaokunywa pombe wana ushirikiano mzuri kuliko Walokole

    Walevi, Mateja, Machangudoa, Mashoga na n.k, asee hawa watu wanashirikiana sana Sent using Jamii Forums mobile app
  11. E

    Ushuhuda wa kutisha kuhusu uchawi

    Tapeli wa Matapeli wote ni shetani, sasa unashangaa nini mganga kuwa tapeli? Duuu Sent using Jamii Forums mobile app Sent using Jamii Forums mobile app
  12. E

    Ushuhuda wa kutisha kuhusu uchawi

    Ili liwe la kweli ulitaka lisomeke vp? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. E

    Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

    DNA wanazo mpaka za ndugu yake, Kwa kuwa hawakukupa taarifa walipoenda kumkamata ndio maana hawakutaka kudisclose all evidence for his kill, it is simple like that. Nyie endeleeni kuamini hivo maana najua iliwauma sana hamkupenda kila kukicha mnatafuta reasons za kujifariji Sent using Jamii...
  14. E

    Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

    Hayo maneno uliyocopy kwenye mtandao yanafanana kabisa na maneno ya wale watu ambao doctor anasema mgonjwa kafa kwa ukimwi wenyewe wanasema kalogwa. Na haya hayawekwepeki, kama hajafa si atoe sauti yake kama alivokuwa anafanya? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. E

    Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

    Tatizo hautumii akili yako ipasavyo ata kufikiria unasaidiwa...eti mnamfanya Snowden kuwa point of reference, how? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom