Asanteni sana wapendwa, Bakuza, Mamndenyi, Fe lady, The Fama, Ulimakafu, Baba Collings n.k. kwa mchango wenu. Ni kweli kabisa hapa JF panafaa sana kutafuta ushauri. Licha ya kupata ushauri wa kukusaidia pia unafarijika sana. Mwita25 amini hapa pia panaweza kuitwa hospitali, kwani idea...