Recent content by Elijah08

  1. Elijah08

    Nahisi kukata tamaa na hii kazi ya kuajiriwa

    Ndiyo kwa sasa pesa ipo, maana tunaelekea kwenye bull run na Bitcoin halving
  2. Elijah08

    Nahisi kukata tamaa na hii kazi ya kuajiriwa

    Mimi siamini kabisa kwenye kazi za kuajiriwa, mimi nimekeza kwenye Crypto currency na inanilipa kuliko kuajiriwa, mimi ushauri wangu at any cost jitahidi kusave angalau 30% ya unachopata ndani ya mwaka utakuwa umesave angalau pesa za kuanza biashara yako binafsi.
  3. Elijah08

    Naomba uelewa juu ya Ku-trade Crypo currency kwa kutumia AI-Robot

    Mkuu kuhusu ku trade kwa kutumia robot nakushauri royal q, kwa sababu moja tu, ya kiusalama. *pesa zako hazikai royal q, bali zinakaa kwenye digital wallet yako kama vile, 1.BINANCE 2.HUOBI 3.KRAKEN 4.Coin base 5.INDODAX 6.BYBIT 7.OKX *teknolojia zinazotumika ni kama vile 1.BLOCKCHAIN...
  4. Elijah08

    Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    Kutokana na ugumu wa ajira na msemo usemao "doesn't matter what you know but whom you know" NINGEPENDA KUWASHAURI VIJANA KUWEKEZA KATIKA DIGITAL MARKETS KAMA VILE 1.CRYPTO CURRENCY 2.FOREX 3.COMMODITIES 4.STOCKS Kwa sasa crypto currency ni chaguo zuri...
  5. Elijah08

    Hello JF members

    😂😂😂😂 Labda ya 4
  6. Elijah08

    Wenye experience kuhusu degree ya sheria

    Wenye experience kuhusu degree ya sheria • Kwanini Law inayotolewa udsm ni miaka minne na mzumbe ni miaka mitatu • Kuna tofauti kati ya mhitimu wa Law aliyesoma miaka minne na aliyesoma miaka mitatu. Naomba ufafanuzi juu ya hilo
  7. Elijah08

    Hello JF members

    Naitwa Elijah from A town city nina wiki moja apa JF •Nina furaha kujiunga na JF Naombeni mnipokee
Back
Top Bottom