Recent content by Elijah Steel

  1. E

    Je, Geita ina fursa gani?

    Kama unataka kufanikiwa kwa haraka njoo Geita, biashara pekee ya kueleweka ni uchimbaji. 90% ya watu wanajihusisha na uchimbaji kwa namna Moja au nyingine. Hivyo kama unaweza njoo uchimbe kama huwezi tafuta biashara ya kuhudumia wachimbaji. Miaka 8 lazima uwe bilionea. Mimi nna miaka 4 hapa nna...
  2. E

    Uke unabana hata uume haupiti ila sio bikla, au kalogwa?

    Mbane pumzi, pua na mdomo. Uchi unaachia. Ni hali ya kawaida kwa baadhi ya wanawake.
  3. E

    Kwanini vijana wengi wanashindwa kuendesha biashara zao pindi tu wanapoziansha?

    Biashara nyingi zinakufa kwa sababu kuwa watu wengi hatuna uzoefu wala hatujui misingi ya biashara. Mara nyingi wazazi wetu ndio watu sahihi sisi kujifunza biashara lakini wazazi wengi pia hawafahamu biashara kama sisi. Hivyo watu wengi hukurupuka na kuangukia pua.
  4. E

    Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

    Mimi binafsi siwezi oa single mother. Lakini sioni shida na mtu kuoa single mother. Changamoto kubwa kwa mwanaume kuona single mothers ni kutoka kwa familia. Familia nyingi haziwezi kuelewa swala la kijana wao kuoa single mother wakati Kuna mabinti ambao hawana watoto especially pale ambapo yeye...
  5. E

    Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

    Kuna biashara nasimamia mauzo 500m mbk 800m kwa mwezi. Tafuta mtaji wa 1B uje nikuelekeze.
  6. E

    Sakata la January Makamba na Pesa za NSSF: Awataka maadui zake kumkabili moja kwa moja

    Sio mara ya kwanza January kua na kashfa ya ufisadi.
  7. E

    Kauli ya Rais juu ya fao la kujitoa ilivyonifurahisha kisha ikanitesa, inanitesa na itaendelea kunitesa

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] utakua umesaidia watanzania wengine
  8. E

    Kauli ya Rais juu ya fao la kujitoa ilivyonifurahisha kisha ikanitesa, inanitesa na itaendelea kunitesa

    Ukiendelea kusubiri wabunge wakupiganie Vita vyako utasubiri sanaaa .
  9. E

    Kauli ya Rais juu ya fao la kujitoa ilivyonifurahisha kisha ikanitesa, inanitesa na itaendelea kunitesa

    NSSF bila kuwapa Rushwa utahangaika weee mbk ukome na pesa haupati. We toa ata laki miezi 2 unapata pesa yako.
  10. E

    Wananchi wa Mtwara huwa tu Hawasikii. Kikwete mwenyewe alishawatengeneza sana

    Kenge ana kichwa kigumu mnooo, panga linadunda, shoka ndo ata haskii yani ilinichukua saa nzima kumuua.
  11. E

    Ilemela barabara hakuna, viongozi wanapwaya. Rais Magufuli na Majaliwa tusaidieni

    Mwanza tangu aondoke Ole Njolai hakuna mabadiliko yoyote watu wanapiga pesa tu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom