Kama unataka kufanikiwa kwa haraka njoo Geita, biashara pekee ya kueleweka ni uchimbaji. 90% ya watu wanajihusisha na uchimbaji kwa namna Moja au nyingine. Hivyo kama unaweza njoo uchimbe kama huwezi tafuta biashara ya kuhudumia wachimbaji. Miaka 8 lazima uwe bilionea. Mimi nna miaka 4 hapa nna...
Biashara nyingi zinakufa kwa sababu kuwa watu wengi hatuna uzoefu wala hatujui misingi ya biashara. Mara nyingi wazazi wetu ndio watu sahihi sisi kujifunza biashara lakini wazazi wengi pia hawafahamu biashara kama sisi. Hivyo watu wengi hukurupuka na kuangukia pua.
Mimi binafsi siwezi oa single mother. Lakini sioni shida na mtu kuoa single mother. Changamoto kubwa kwa mwanaume kuona single mothers ni kutoka kwa familia. Familia nyingi haziwezi kuelewa swala la kijana wao kuoa single mother wakati Kuna mabinti ambao hawana watoto especially pale ambapo yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.