Sure, mimi niko shambani nalima dengu na kuchunga ving'ombe vyangu huku madogo na mama yao wamejifungia ndani mahindi, maharage, mchele na vinginevyo vipo vya kutosha ndani.
Njoo na Manyara wilaya ya Hanang kuna ziwa ka chumvi kubwa tu chumvi ni ya kuchota kwa spades na mikokoteni huna haja na shamba maana yenyewe inatengenezeka tu.
Nilivuna miaka ya 2015 wakati wateja walikuwa wanatoka DRC,Burundi,uganda na sehemu mbali mbali kwani walikuwa wananunua kwa bei nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.