Recent content by Elifuraha Bussism

  1. Elifuraha Bussism

    Tuondokane na kununua Matrekta used kwa bei kubwa yanayokaribiana na bei ya trekta jipya

    Mkulima kuna vitu vingine ni vya Uongo, Trekta mpya ukizitumia masaa mengi hivyo zitadumu kwa muda mchache Sana, Lakini used zitaendelea kudunda tu.
  2. Elifuraha Bussism

    Huwezi kuzuia sauti ya UMMA kwa kuzima mitandao

    Ni vitendo vibaya sana!
  3. Elifuraha Bussism

    CORONA haipotei leo wala kesho. Mtumishi wa Umma jiandae na yafuatayo

    Sure, mimi niko shambani nalima dengu na kuchunga ving'ombe vyangu huku madogo na mama yao wamejifungia ndani mahindi, maharage, mchele na vinginevyo vipo vya kutosha ndani.
  4. Elifuraha Bussism

    Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

    Si uombe wewe bhana kisa cha kutuletea mijarida humu nini???
  5. Elifuraha Bussism

    Askofu Shoo wa kanisa la KKKT abanwa mbavu

    Hangaikeni na corona acheni yasowahusu!!!
  6. Elifuraha Bussism

    Mchungaji Msigwa umetukosea heshima wanandugu kwa kushindwa kutambua mchango wa fedha za familia

    Makamanda wamemtoa,atapokeaje mchango toka kwa watesi wake???
  7. Elifuraha Bussism

    Naomba kujuzwa bei ya ndama wa maziwa

    Hahahahahaah nafikiri nimeeleweka!!?
  8. Elifuraha Bussism

    Shamba la chumvi

    Njoo na Manyara wilaya ya Hanang kuna ziwa ka chumvi kubwa tu chumvi ni ya kuchota kwa spades na mikokoteni huna haja na shamba maana yenyewe inatengenezeka tu. Nilivuna miaka ya 2015 wakati wateja walikuwa wanatoka DRC,Burundi,uganda na sehemu mbali mbali kwani walikuwa wananunua kwa bei nzuri...
  9. Elifuraha Bussism

    RC Makonda: Kuna "Biological weapons" tujihadhari. Asema hata pale ukumbini walipo, zinaweza kuwepo bila waliomo kujua

    Mpeni mic aendelee bhana hahahahahah wageni wakija ikijuwa watoto wanafukuzwa sasa mnamwingiza huyo si ataropoka yasiyotamkwa?
Back
Top Bottom