Recent content by Elias Msuya

  1. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Peter Madeleka: Yaliyotokea Oktoba 29 ni jinai, maridhiano sio suluhisho, hatua zichukuliwe kijinai kwa waliohusika

    Mwanasheria maarufu nchini, Peter Madeleka amesema matukio yaliyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 yana masuala ya jinai yanayopaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria, akisema maridhiano hayawezi kuwa suluhisho la makosa ya jinai. Kauli hiyo ya Madeleka imekuja wakati Serikali...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Yajue makundi ya watu Kisaikolojia, wewe unalijua kundi lako?

    Wanadamu wamegawanyika katika makundi manne kisaikolojia yaliyo katika mafungu mawiliyaani Introverts na Extroverts. Makundi haya haya manne ya tabia (tempraments) yana asili yake katika falsafa ya Ugiriki ya Kale, hasa kupitia kwa tabibu Hippocrates na baadaye Galen. Yanaeleza jinsi watu...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Ni Hichilema vs. Mundubile uchaguzi mkuu Zambia

    Leo ni Agosti 13, 2026, raia wa Zambia wanapiga kura katika uchaguzi mkuu unaotazamwa kwa karibu sana. Huu ni uchaguzi muhimu unaojaribu ahadi za mageuzi ya kiuchumi dhidi ya hali ngumu ya kimaisha inayoikabili nchi hiyo. Soma zaidi: Mchuano Mkali Zambia: Je, Hichilema atatoboa tena au Upinzani...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Anna Henga: Tume ya Jaji Lila haitaliponya Taifa, tungeanza na maridhiano kwanza

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Anna Henga ametoa maoni yake kuhusu Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya Kuchunguza Ghasia za Oktoba 29, 2025. Soma pia: Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana
  5. E

    JamiiForums Tanzania Edwin Sifuna: Kutoka kuwa mtetezi wa ODM Sasa tishio jipya kwa Ruto 2027

    Kwa miaka kadhaa, jina la Edwin Watenya Sifuna limekuwa miongoni mwa yanayotajwa zaidi katika siasa za Kenya. Wakati wengi walimfahamu kama Katibu Mkuu wa Orange Democratic Movement (ODM) na mmoja wa watetezi wakubwa wa Raila Odinga, leo anatajwa kama mwanasiasa anayejaribu kujijenga kuwa...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Wasomi: Ni makosa kudhani maridhiano yatapatikana kwa vyama vya siasa peke yake

    Mkutano wa Rais Samia Suluhu Hassan, na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam Julai 30, umeibua tena mjadala kuhusu mwelekeo wa maridhiano nchini baada ya kipindi cha mvutano wa kisiasa kilichofuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Kwa upande wa Serikali, mkutano huo...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Marekani Kusitisha Huduma za Kawaida za Visa katika Miji 25 ya Afrika, Dar es Salaam Kuwa Kitovu cha Kikanda

    BUSINESS INSIDER AFRICA, JULY 28, 2026 Marekani itasitisha huduma za kawaida za uchakataji wa visa katika ofisi zake za kidiplomasia katika miji 25 barani Afrika kuanzia Agosti 1, ikiwa ni sehemu ya mageuzi makubwa ya huduma za ubalozi yanayolenga kuimarisha uchunguzi wa kiusalama na kuboresha...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Utata wa Kesi za Ugaidi na Mtihani wa Taswira ya Tanzania Kuelekea AFCON

    Tanzania inapokipiga kambi katika ukurasa wa historia ili kuwa mwenyeji wa matukio makubwa ya kimataifa, ikiwemo mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), taifa hili linajikuta katika njiapanda ya kipekee. Upande mmoja ni hitaji la msingi la kuhakikisha ulinzi na salama wa raia, wageni...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Polisi Tanzania: Watuhumiwa 36 kati ya 130 Wafikishwa Mahakamani kwa Makosa ya Jinai

    Jeshi la Polisi Tanzania limetangaza kuwa watuhumiwa 36 kati ya 130 waliokamatwa kwa tuhuma mbalimbali za uhalifu wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka. Katika taarifa iliyotolewa Julai 26, 2026, Jeshi la Polisi limesema watuhumiwa hao walikamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka amshukia Wasira: "Kumshauri Rais kuangalia upya kesi ya Lissu, sio kuiamuru Mahakama"

    Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa zamani na mbunge mstaafu, Prof. Anna Tibaijuka, amemjibu Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, akisisitiza kuwa wanaodai Mheshimiwa Rais hawezi kuingilia au kutafuta ufumbuzi wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kwa sababu...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Dk Melikisedeki Kaijage, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa madai ya kuhamasisha maandamano ya Julai 7, 2026, sasa amebadilishiwa shitaka na kuwa la ugaidi na hivyo kunyimwa dhamana. Awali, Jumanne Julai 21, Dk Kaijage alipewa...
  12. E

    JamiiForums Tanzania CCM ichague moja: Kuendelea na kesi ya Lissu au kuingia kwenye maridhiano

    Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, hivi karibuni amesikika akisema kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ndiye anayechangia kucheleweshwa kwa kesi yake ya uhaini kwa kuwasilisha mapingamizi mara kwa mara. Akizungumza katika kipindi cha Dakika 45 cha ITV Julai 20, 2026, Wasira pia...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Haya hapa madhara kwa Tanzania endapo haitatekeleza masharti ya Jumuiya ya Madola

    Julai 10 Kikundi cha Mawaziri wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Ministerial Action Group - CMAG) kilitoa mrejesho wa ziara ya mwakilishi wake, Dk Lazarus Chakwera aliyekuja nchini Machi 2026 kuchunguza vurugu zilizotokea katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2026. Katika taarifa yake, CMAG imetoa muda...
  14. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chama cha ODM kumuunga mkono Rais William Ruto Uchaguzi Mkuu wa 2027

    Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimetangaza kuwa hakitasimamisha mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya wa mwaka 2027, badala yake kitamuunga mkono Rais William Ruto kuwania muhula wa pili madarakani. Kauli hiyo ilitolewa jana, Julai 12, 2026, na kiongozi mwandamizi wa ODM...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Serikali Ishughulikie Malalamiko ya Wanaoitisha Maandamano, Sio Kupambana Nao

    Tishio la maandamano la hivi karibuni la Julai 7, 2026, limeibua mjadala mpana na mzito nchini kuhusu namna bora ambayo Serikali inapaswa kukabiliana na changamoto za kisiasa na kijamii zinazochochea wananchi na wanaharakati kutangaza maandamano. Badala ya kuwekeza nguvu nyingi na mabilioni ya...
Back
Top Bottom