Recent content by ELIAS MICHAEL MORRIS

  1. ELIAS MICHAEL MORRIS

    INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

    kaka unalazimisha nionekane tapeli hila mimi siko mimi ofisi zangu zipo mtoni mtongani na tabata shule sasa uyo alochomaanisha kua alinipigia siku y kwanza nkamwambia npo mtongan yani ofisini ila siku nyengine alipokuja nikamwambia nipo goms japo m sikumbuki ayo mawasiliano yangu n yeye hila...
  2. ELIAS MICHAEL MORRIS

    SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

    haijalishi ni nani atashinda ktk uchaguzi mkuu huu hila CCM na serikali si kwamba hawakufanya kitu hila wamefanya machache/kwa kiwango kidogo sana ukilinganisha na muda wa zaidi y miaka 49 waliokaa madarakani na naamini watafanya tena madogo sana kwa kipindi km icho kikacho km watabaki kua...
  3. ELIAS MICHAEL MORRIS

    SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

    hahahahaaa kwani hilo bunge linaongozwa na wa chama gani? inamaana hujui au huonagi pindi wapinzani wanapotakaga kuibana serikali ktk utekelezaji wa bajeti yake jinsi wanavyotendewa mabaya? je huoni jinsi bunge linavyoendeshwa kwa misingi ya uchama na kupokea maamlisho toka juu?
  4. ELIAS MICHAEL MORRIS

    SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

    inamaana huoni jinsi chama tawala hasa kiongozi mkuu nao wanavyowatia doa viongozi waliopita kwa kujifanya wao sasa hivi ndio wanafanya kazi na wenzao waliopita hakuna walichofanya!?, hivi kiongozi kusema nchi hii ilikua ya ovyo kuna tofauti gani na wapinzani wnaposema nchi hii iko ovyo?, embu...
  5. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Tembea KM 200 kwa 22,500 tu

    huu uzi hauna nyama za kutosha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Ulishawahi kufanikiwa kuamua jinsia ya mwanao kwa kutumia Calendar Method?

    ni kweri inafanya kazi iyo njia ya karenda, mimi nimeijaribu na imenipa kile nlicho kitaka japo ndio mtoto wangu wa kwanza Sent using Jamii Forums mobile app
  7. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Kuhusu CHADEMA kuwafuta/ kuwafukuza ubunge akina Lwakatare, Selasini, Komu na Silinde: Nakubaliana na Spika Ndugai

    Hili ndio tatizo la kutosoma kilichoandikwa mpaka mwisho na kutafakari maana ya mtoa hoja, wengine msichoelewa tu ni kwamba mtoa hoja amemkosoa spika na sio cdm. naunga mkono hoja ya mtoa hoja Sent using Jamii Forums mobile app
  8. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Usiginwaji wa Katiba Bungeni: Watetezi wa Haki za Binadamu nchini walaani. Wawakumbushia umuhimu wa kila raia kuilinda Katiba ya Nchi

    hahahahaaaaa ata jina usiliamini mkuu au umemsaau utingo wa lile jiji la kufikirika Sent using Jamii Forums mobile app
  9. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Virusi vya Corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekani

    ndio ni corona hila sio umasikini Sent using Jamii Forums mobile app
  10. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Virusi vya Corona: Kupingwa kwa amri ya kukaa ndani inayoendelea nchini Marekani

    hiyo than corona umeiweka wewe tu. alafu wanaoomba misaada ni wapinzani au serikali maana mi sijawai kusikia marekani inakidai chama chochote si cha upinzani wala tawala hila nasikiaga tu serikali zetu za africa zinadaiwa na marekani. hizi memkwa mlizopitia hizi ni tatizo kwakweri Sent using...
  11. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Happening now at Kondo Bahari Beach: Marehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo

    angalau umemalizia na point hila corona ni ya kitofaut mkuu ndiomana miaka yote ajari zilikuwepo hila hazikuwaini kusababisha dunia nzima kuwa na taharuk na kusitisha shughuli mbali mbali za kiuchumi, dunia nzima inajua kua vifo vya corona ni km 2% tu ya waasilika wa ugonjwa huo ila ueneaji wake...
  12. ELIAS MICHAEL MORRIS

    Bahati yetu ni Jua, Unyevunyevu (humidity) na Joto - Corona hatambi

    ndiomana nikasema kwa uelewa wangu so wewe km unauelewa mwengine waziada unaweza uweka hapa kwani itaweza kuniongezea kitu hata mimi, afu usiondoke bwana we bakia tu ili tuendelee kulishwa matango pori pamoja Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom