kwa maeneo niliyopo mimi na vjj vinavyonizunguka hapa buzegwe wilaya ya ukerewe mpaka sasa chadema imechukua vjj 11 na vilikuwa vya ccm mojawapo na kijiji changu ambacho kimekaliwa na ccm tangu uhuru kiujumla ccm ina hali mbaya sio siri kwa hapa ukerewe
lusungo uclalamike mlaumu aluyeazisha shule za kata @ kijana kwa sasa anauelewa na anajua anachokifanya na kuanzia leo msiwaite tens bongo fleva(kizazi kimpya) waiteni wanaharakati
kikwete kakizika ccm kiujanja na ndo maana amekaa kimya na eskroo sababu ndo jeneza la ccm ila inauma sana hongera kikwete kwa kuwaandalia wapinzani kuingia ikulu kwa mbwembwe kubwaaaaaaaaa!!!!! hakuna marefu yasiyokuwa na ncha , huu ndo mwisho wa mafsadi HATA MI HUKU CKUAMINI KIJIJI AMBACHO...
hapa ukerewe hali mbaya kwa ccm
BUZEGWE
NAMPISI
MURUTANGA
BOGOLOLA
KWERU
KAZRAKANDA
BUNGUZA
NANSIO MJIN
BWIRU
Yote chadema na mpka sasa wafuas wa chadema buzegwe wanashagilia kwa fujo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.