Tatzo la waislamu wanapenda kuoa wanawake Wa kikirsro bila kukataliwa lkn hawataki wakristo kuwaoa wanawake Wa kiislamu na huu ni ubaguz Wa wazi na nijuavyo mm mwanamke hana dini waislamu acheni ubaguzi hata kama mnataka idadi yenu iwe kubwa kuliko wakristo
Hiyo ni bank ya dunia lkn mm nipo nchini tanzania najionea hali halisi au ww upo nje ya nchi ndugu yangu nigeria uchumi wao upo juu lkn wananchi wanamaisha magumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.