Recent content by Eliakimu mangala

  1. E

    Mimi ni mkristo na mpenzi wangu ni muislam na tunataka kuoana ila ndugu zake hawataki

    Tatzo la waislamu wanapenda kuoa wanawake Wa kikirsro bila kukataliwa lkn hawataki wakristo kuwaoa wanawake Wa kiislamu na huu ni ubaguz Wa wazi na nijuavyo mm mwanamke hana dini waislamu acheni ubaguzi hata kama mnataka idadi yenu iwe kubwa kuliko wakristo
  2. E

    Mbona Diamond hajapost show ya uwanjani ya Mayote?

    Mbona kapost Tena wanamng'ang'nia
  3. E

    Lipumba: Usaliti unaitafuna CHADEMA, nikirudi watakwisha

    Lipumba hana lolote mbowe alimuuliza toka lipumba aanze kugombea urais alishawahi kupata wabunge wa tano lkn alipojiunga na ukawa wabunge kibao wa cuf
  4. E

    Dr. Mashinji (Katibu Mkuu wa CHADEMA) yupo kama hayupo

    Hiyo ni bank ya dunia lkn mm nipo nchini tanzania najionea hali halisi au ww upo nje ya nchi ndugu yangu nigeria uchumi wao upo juu lkn wananchi wanamaisha magumu
  5. E

    Diwani wa CHADEMA Simiyu mbaroni kwa tuhuma za rushwa

    Wakiuwa wa ccm hakuna shida lkn wa cdm wanamkamata
  6. E

    Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

    Wala ww siyo cdm ni ccm ni sisi watu wa kaskazin hatututakaa tuichague ccm kamwe hata kama ccm itatawala hii nchi milele
  7. E

    Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo CHADEMA

    Huyu mwabudu lusifa vip apeleke ujinga wake huko kwanza wanachanganya siasa na dini kitu ambacho sikipendi
  8. E

    Mpaka sasa sijaona tofauti ya Kikwete na Magufuli

    Kamoga mwenyewe ni yule mlevi bora angenichagua mm
Back
Top Bottom