Yanayoendelea kutokea ni muendelezo wa yale mliyoyanyamazia juu ya wengine kwa kipindi kirefu.
Hakuna kitu kinachoota bila kupandwa mbegu yake, sasa hivi hii ni mbegu iliyokuwa imepandwa na ndio inaota sasa.
KAMA NINGEKUWA PRESIDA MIMI......... [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
■Ningeongoza na sio kutawala
■Ningesikiza zaidi kuliko kusema
■Ningejenga daraja watu wanifikie na sio ukuta niwazuie
■Ningewapa kipaumbele wenye...
Unaongelea Arusha sehemu gani wanayotumia maji ya mavi maana mm binafsi mkazi wa Arusha na mboga nalima na wala sijawahi kumwagilia maji ya mavi na wala hakuna anayemwagilia maji ya mavi.
Acha upotoshaji, nenda kumtafuta Harmorapa mnaendana kutafuta kiki!!
An arrow can only be shot by pulling it backward. When life is dragging you backward with difficulties, it means it's going to launch you into something great so you just focus and keep aiming...!!
#UsiogopeChangamotoZaMaisha
.
.
#YearOfEstablishment
#YearOfTestimonies
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.