Recent content by Eliakim Lawrence

  1. Eliakim Lawrence

    TAIFA KWANZA

    Yanayoendelea kutokea ni muendelezo wa yale mliyoyanyamazia juu ya wengine kwa kipindi kirefu. Hakuna kitu kinachoota bila kupandwa mbegu yake, sasa hivi hii ni mbegu iliyokuwa imepandwa na ndio inaota sasa.
  2. Eliakim Lawrence

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    KAMA NINGEKUWA PRESIDA MIMI......... [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] ■Ningeongoza na sio kutawala ■Ningesikiza zaidi kuliko kusema ■Ningejenga daraja watu wanifikie na sio ukuta niwazuie ■Ningewapa kipaumbele wenye...
  3. Eliakim Lawrence

    Lowassa turudishie maji yetu ya mto Themi

    Unaongelea Arusha sehemu gani wanayotumia maji ya mavi maana mm binafsi mkazi wa Arusha na mboga nalima na wala sijawahi kumwagilia maji ya mavi na wala hakuna anayemwagilia maji ya mavi. Acha upotoshaji, nenda kumtafuta Harmorapa mnaendana kutafuta kiki!!
  4. Eliakim Lawrence

    When life pulls you backwards

    An arrow can only be shot by pulling it backward. When life is dragging you backward with difficulties, it means it's going to launch you into something great so you just focus and keep aiming...!! #UsiogopeChangamotoZaMaisha . . #YearOfEstablishment #YearOfTestimonies
Back
Top Bottom