Habari ndugu!!
Kiwanja kinauzwa, kinatambulika na SERIKALI ZA MITAA kwa Nakala ya MANISPAA.
Eneo: Kigamboni, opposite na D'Salaam Zoo, kabla hujafika Mwasonga Mwisho.
Ukubwa: MITA 30 kwa MITA 25. (Ni kama Futi 90 kwa 75).
Bei: MIL.6.5 Maelewano yapo!!
Mahala Kilipo: Pana Umeme, Maji yapo...