Recent content by Elia zakaria

  1. E

    JamiiForums Tanzania mgeni

    hooooooooodiiiiiii humu ndani?
  2. E

    JamiiForums Tanzania Mwalimu kubadilishana Kituo cha Kazi

    Mimi mwalimu s/m nipo mkoa wa Arusha naomba kubadilisha kituo cha kaz na mwalimu yeyote aliye ktk mikoa ya iringa na njombe. Nibipu kupitia 0755543978/0683111225
  3. E

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Arusha mimi nije mufindi au nisaidie kutafuta mtu anayehitaji kuja Arusha -meru mimi nije mufindi. Idara msingi Piga 0755543978 au email.eliazakaria45@gmail.com
  4. E

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu idara ya msingi nipo Wilaya ya meru mkoa wa Arusha naomba kubadilshana na mwalimu aliye Wilaya za Iringa yaani Kilolo, Mufindi, Manispaa na Iringa vijijini.kwamawasiliano zaidi piga namba 0755543978
  5. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanyaje nifaidi mapenzi nikiwa nae kitandani?

    Inategemeana kama huyo mke wako ndo mara ya kwanza kuanza na wewe inawezekana bado hajazoea, kwani kama ni mara yake ya kwanza kuonana na wewe kimapenzi lazima ahisi maumivu mpaka uke wake utake kulingana na ukubwa wa Dushe yako, so uwe mvumilivu mpaka mkewo azoee.
Back
Top Bottom