Kwa ajili ya kuogopa kutumbuliwa unadhani kailima angesemaje, kwa sasa wote wanaitikia pambio alianzisha mkuu wa kaya, nikulipe mshahara halafu umtangaze mpinzani kuwa ameshinda!! kailima angeaemaje kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki? huru na haki watu wameuawa!!!!
Wewe utakuwa unatoka Lumumba, wana Chadema hawana akili kama zako, kutoka kura 2m na kufikia 6m mwaka 2015, halafu hauoni utakuwa Chadema kweli! au Lumumba
Wakatoriki wanaruhusiwa na nini kunywa ila wasilewe? inaana wakatoriki wao wana Mungu wao, na biblia yao, waache usani huo ni uroho tu, hakuna ruhusa yoyote katika Biblia inayomruhusu mkatoriki kifanya vitu ambavyo wanadamu wengine wamekatazwa.
Huo utakuwa ni ubaguzi ulio dhahili, Katibu wa itikadi na uenezi wa chama ndg Polepole alimpongeza kwa barua mbunge wa ccm aliemsafirisha Mh Lisu kwenda Kenya, hakuitwa kujieleza huyu aliyeenda kumjulia hali Mh Lisu,/anaitwa kujieleza, hapa hakuna double standard? au kuna nini.
Polepole anadanganya umma, mbunge wa CCM anayetajwa na polepole mwenyewe anasema, gharama za usafiri wa Tundu Lisu kwenda Nairobi kwenye matibabu, Chadema wamelipa, wewe unasema mbunge wa CCM amegharimia! Jamani kuweni hata na hofu basi, mkijua kila neno, kila tendo liwe jema au baya Mungu kwa haki.
Chadema ni watu makini sana, hawawezi kumficha dereva kwa namna yoyote kwa jinsi wanavyojua sana, mimi huwa nawaita watu wa data, Mara zote husimama katika bila utafiti hakuna usemi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.