ina vyumba vinne na sebule...ila hali yake sio nzr sana hivyo inahitaji ukalabati....siishi ktk nyumba hyo bali kuna mpangaji anaihi humo japo kwa bei ndogo sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
habari ndg wa jf..nimatumaini yangu mko salama nami pia niko vzr kiafya japo kimawazo nikizungumkuti...
nihitaji kutoa historia fupi ya maisha yangu inayonifanya nijione tayari mm ni looser..
wazazi wangu waliachana nikiwa na umri wa miaka minne mwaka 1985...tangu kipindi hicho baba hakuwahi...
kumbe mnachunguliana sana humu ee!! oh bora mtu afe na shida zake kuliko kuzomewa jf....yani hakuna anaemtia moyo mwenye shida[emoji12] [emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
kikwetu tukisikia maneno ya kushangaza huwa tunatazama mbaramwezi iko upande gani..maana yawezekana ndio muda wa kumtibu mgonjwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.