Recent content by eldora

  1. eldora

    Wafanyakazi wa Mizani Vigwaza rushwa haiombwi hivyo!

    Ndiyo alipima ila, mzigo unaweza ukacheza kutokana njia ilivyo labda steep slopes barabarani mzigo ukahama ukazidi kwenye exel....ila kinachochanganya ni kwamba imezidi na GVM! Ni jambo la kujiuliza sana
  2. eldora

    Wafanyakazi wa Mizani Vigwaza rushwa haiombwi hivyo!

    Sema ninachojua hapo gari ishaingia yard haiwezi toka kupima bila order ya regional manager au mamlaka husika ya juu, kama haijalipia faini na ku offload mzigo afisa wa kawaida wa mzani haruhusiwi kuipima tena bila kufuata huo utaratibu either amelipia na kuoffload mzigo au kuupanga ndo afisa...
  3. eldora

    Wafanyakazi wa Mizani Vigwaza rushwa haiombwi hivyo!

    Aaah gari itapimwa mbivu na mbichi zitajulikana, yaweza kuwa ni ofisaa wa mzani kakosea kaweka articulated ya carrying capacity ndogo na akati hiyo ni kubwa ndo maana ikaleta kuzidi kwa exel na GVM
  4. eldora

    Wafanyakazi wa Mizani Vigwaza rushwa haiombwi hivyo!

    Hapo inaonekana operator kayatimba kakosea kuchukua aina za exel alizochukua, labda kama ni exel zile 1.22.3=50 kachukua 1.21.3=46 kama sijakosea na ameshaisave kwenye system faini inatakiwa kulipwa wanamkandamiza mwanamama wa watu labda wanahisi hajui carrying capacity ya chuma yake...
  5. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Ni kina nani hao nlioishi nao
  6. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Siko interested na vijana wadogo tafadhali
  7. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Watoto ni wa baba mmoja, sababu ya kushindwana ktk ndoa huwa sio moja na wala sio ya siku moja ndugu kama hujawahi ingia kwenye ndoa you better keep quiet
  8. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Sio wote wanayaishi maisha ya mitandao kama mahayawani dear akili ni nywele kila ana zake
  9. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Hayawezi kubadilika tafadhali
  10. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Amina
  11. eldora

    Natafuta mwenza mwanamume

    Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree. Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana. Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa...
  12. eldora

    Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

    Pole sana Ushimen Mungu wetu wa mbinguni azidi kukusimamia upone na urudi katika majukumu yako
  13. eldora

    Jamii ya Waislamu waishio UK Waandamana kuunga mkono ndoa za jinsia moja

    Vipi hilo bango walilo nalo mtoa mada ndo ka edit?
Back
Top Bottom