Recent content by EKILOZO

  1. E

    Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia taifa leo Desemba 31, 2021

    Tatizo hotuba zake ziko juu hazizungumzii changamoto za wananchi. Kama ile hotuba yake ya miaka 60 ya uhuru sijui hata alikuwa anazungumzia nini
  2. E

    Dkt. Kimei ashiriki zoezi la kukabidhi madarasa 85 kwa shule za sekondari Wilayani Moshi

    Kila siku tunasikia habari za madarasa mbona hamtuambii idadi ya walimu mliongeza kuendana na ongezeko la wanafunzi kwa sasa?
  3. E

    Kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi mkoa wa simiyu imeomba serikali kuajiri walimu

    Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu, imeiomba serikali kuajiri walimu wengi wa kutosha, ili kukabiliana na ongezeko la wanafunzi watakaoanza masomo yao mapema mwakani. Ushauri huo umetolewa na Katibu wa CCM mkoa wa Simiyu Innocent Nazaba, wakati wa ziara ya kamati ya...
  4. E

    Waziri wa nchi, ofisi ya Rais-Tamisemi anavunja sheria za nchi mchana kweupe

    Shida ya odo ummy ni overthinking kila kitu anataka akijengee hoja anasahau kuwa overthinking can lead to a misleading
  5. E

    Kwanini tozo za miamala zisitumike kuajiri walimu?

    Mgao wa walimu 6000 ulizingatia zaidi shule mpya ndio walipelekewa wengine hatukuletewa mwalimu hata mmoja
  6. E

    Kwanini tozo za miamala zisitumike kuajiri walimu?

    Demand ya walimu ni kubwa kwakuwa wanahudumia wateja wengi kulinganisha na sekta zingine Ualimu ndio sekta mama ya sekta zingine kwahiyo kuna uhitaji mkubwa wa walimu ili waendelee kuzalisha wasomi na watalaam mbali mbali wa kulisaidia taifa katika nyanja tofauti tofauti. Kwa sababu kuu hizo 2...
  7. E

    Kwanini tozo za miamala zisitumike kuajiri walimu?

    Kwa sababu ya kulinda privacy na anonymity yangu siwezi kutaja jina la shule ninayofundisha ila kama unaweza karibu mkoa wa geita utembelee shule za kata katika halmashauri za bukombe na nyang'hwale utajionea hali halisi ilivyo
  8. E

    Kwanini tozo za miamala zisitumike kuajiri walimu?

    Kama ni ajira za muda mfupi mpaka sasa kuna vijana nimewaajiri mkuu ila uwezo wa kuwapatia ajira ya kudumu ndio sina
  9. E

    Kwanini tozo za miamala zisitumike kuajiri walimu?

    Uhaba wa walimu kimekuwa kilio kikubwa na hatimaye kimegeuka wimbo wa taifa unaoimbwa kila kukicha. Juzi kwenye taarifa ya habari tumesikia mkoa wa geita ukilalamikia ukosefu wa walimu wa masomo ya sayansi. Ukienda shinyanga kilio ni hicho hicho, tabora kilio hicho hicho, ukienda kusini huko...
  10. E

    Geita yatangaza uhaba mkubwa wa walimu hasa wa Sayansi na Hisabati

    Pesa inayokusanywa ni nyingi mno inaweza kufanya mambo yote mawili kwa wakati mmoja. Na kumbuka hapo tozo peke yake hatujagusia kodi za kawaida zinazotokana na rasmali tulizonazo na zinazokusanywa kwa wananchi kila siku
  11. E

    TAMISEMI: Tume ya Utumishi wa Walimu, fanyeni msawazo wa walimu katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuweka uwiano

    Kwa akili hizi tatizo la uhaba wa walimu halitakuja kuisha milele na milele. Yaani waziri badala ya kuajiri walimu wapya kukabiliana na upungufu uliopo anaagiza halmashauri zifanye msawazo. kwa walimu gani waliopo? Huyu waziri kumbe naye chenga
  12. E

    Geita yatangaza uhaba mkubwa wa walimu hasa wa Sayansi na Hisabati

    Walimu wapo wengi mno mtaani sema serikali ndio haitaki kuajiri
  13. E

    Geita yatangaza uhaba mkubwa wa walimu hasa wa Sayansi na Hisabati

    Bila kuishinikiza serikali kuajiri, suala la uhaba wa walimu wa sayansi litaendelea kuwa tatizo alafu kwanini tozo za miamala zinazokusanywa zisielekezwe kuondoa hili tatizo?
Back
Top Bottom