Recent content by Ekikunila

  1. Ekikunila

    Benjamin Mkapa on BBC HardTalk (Video)

    Lisu ni wa Tatu waliotangulia ni Rais mkapa Razaro nyarandu na sasa Lisu
  2. Ekikunila

    Mwanza: Wanaodaiwa kusafirisha dhahabu wapandishwa kizimbani, wasomewa makosa 7

    Alafu wakati mwingine yeye anawasifia kuwa watakao ua majambazi wasipelekwe mahakamani, hapa atakuwa amepata Picha kamili walivyo baadhi ya askari kama Zombe asingepelekwa mahakamani tungejuaje issue yao
  3. Ekikunila

    Rais Magufuli anadukua simu za mawaziri na kusoma meseji zao? Sikia hili

    Hii ni hatari sana kuna uvunjaji haki za binadamu
  4. Ekikunila

    Mhe. Rais Magufuli, naomba kila mwisho wa mwezi tupate hotuba zako

    wazo zuri ni vizuri kama nchi kujua tunaelekea wapi
  5. Ekikunila

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Pasco ameitendea haki tasnia ya habari pia kwa jinsi jamii forums inavyochukiwa hakuogopa kujitambulisha kuwa ni mwanachama wa jf ametutendea haki.
  6. Ekikunila

    Katiba Mpya siyo Kipaumbele cha Rais Magufuli - Mwakyembe(CCM)!!

    Uyo ndo mwenye phd ya sheria anajibu ivyo
  7. Ekikunila

    Kwa hili la mgombea Urais wa UKAWA, system inaelekea kufanikiwa

    chadema ni mpango wa mungu
Back
Top Bottom