Recent content by Ekibanja

  1. E

    Tuache siasa, bandari yetu ya Dar es Salaam ni dhahabu

    Ahahahahahahaha!! Huyu Balile njaa tu kuna siku pale Ikulu Rais Samia alimwaga siri zake pale Ikulu aliposema Balile wewe nakufahamu vizuri siku nyingine unanipigia simu unaniambia mama sina kitu nami nakuangalizia chochote!! Balile anajua mambo lakini mchumiaa tumbo kinyama(anasomesha watoto )
  2. E

    Frateli ni nani katika Kanisa Katoliki?

    Wakuu habari za muda!! Naomba kujua Frateli ni nani katika Kanisa Katoliki na Shemasi ni nani na wana ngazi gani za elimu?
  3. E

    Jasiri Majaliwa safari Handeni Tanga kuanza mafunzo ya Miezi 4 ya Jinsi ya Kuokoa, ukiwa ni hatua za mwisho za kuajiriwa!

    We jamaa una vimelea vya uchawi,,,mwenzio ana nyota Kali ndo ashanyakuliwa hivo wewe endelea na uvuvi.
  4. E

    Jasiri Majaliwa safari Handeni Tanga kuanza mafunzo ya Miezi 4 ya Jinsi ya Kuokoa, ukiwa ni hatua za mwisho za kuajiriwa!

    Kweli we mwehu katika vyuo kama hivyo lazima yajengwe mabwawa makubwa kwa ajili ya mafunzo ya uzamiaji,,,hata hivo tanga kuna bahari
  5. E

    Jasiri Majaliwa safari Handeni Tanga kuanza mafunzo ya Miezi 4 ya Jinsi ya Kuokoa, ukiwa ni hatua za mwisho za kuajiriwa!

    Akili yako ni ndogo mno kujua mambo haya,,lile jeshi linaitwa Fire and rescue force kwa maana ya Zimamoto na uokoaji,,hivyo kwa hapa nchini ndio jeshi lenye jukumu la kuzima moto na kuokoa maisha katika nyanja zote,,,kijana kapelekwa sehemu sahihi
  6. E

    Mke, mume wafa kwenye ajali iliyoua sita Kiteto

    Rip,,,ambulance zina mwendo rough sana.
  7. E

    Xi Jinping amualika Rais Samia China

    Tu nchi twa kiafrika tunapiganiwa kama mpira wa kona!! Maskini Afrika!!!
  8. E

    Tuwajue wanasayansi nguli kutoka Urusi (USSR)

    Russia mtoto mdogo sana
  9. E

    Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

    Kamshauri dogo atumie pesa vizuri vinginevyo ataishia kusema kazi mbaya huku wenzake wanasonga mbele,,,,Punguzeni utegemezi kwake kama upo.
  10. E

    Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

    Penda kazi yako kwanza. Uvumilivu ni somo muhimu sana majeshini ambalo halifundishwi vyuo vya kiraia
  11. E

    Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

    Akidai utajuaje kama amedai!? Kuhusu kila mtu alipwe kupitia serikali kuu ni ngumu maana imewekwa hivyo kwa sababu maalumu mfano nchi ikiyumba ikashindwa kulipa mishahara ya watumishi usitegemee askari atakosa mshahara kwa sbabu uchumi umeyumba!!! Ndo maana serikali kuu inabaki na watumishi...
  12. E

    Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

    Hata majeshi yana malalamiko yao siyo kwamba kila kitu kiko sawa,,,hivyo matatizo ya walimu siyo ya kushangaa,,,sema matitizo ya askari yanatatuliwa kwa usiri ila siyo kusema kwamba wao hawana matitizo
Back
Top Bottom