WATUMISHI WA UMMA NCHINI TUNAKUSHUKURU RAIS SAMIA, TUDAI TIJA KAZINI NA KURA 2025
Sisi watumishi wa umma nchini tunasema haya kwa sababu umetufanyia makubwa, umetuonesha upendo, umeonesha kutujali na kuguswa na changamoto zetu. Tangu umeingia Rais wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan umetufanyia...
"Nimemsikia mdogo wangu Hassan (mwenyekiti wa Africa) akisema Aluta continua,nikajiuliza hapa wanaendelea na mapambano ya Nini,hivi tunapaswa kupambana au kuzungumza na kufanya kazi. Nataka kuwahakikishia wanangu na ndugu zangu kwangu Mimi mapambano hakuna njooni tufanye kazi kujenga Nchi yetu"...
VIONGOZI WANGU WA KANISA KATOLIKI, SHIDA NINI?
Ukimsikiliza Katibu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padre Dk. Charles Kitima na ukaunganisha na kauli za Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Mhashamu Yuda Ruwaichi unaona moja kwa moja viongozi hawa wanavyojielekeza kuupinga msimamo wa...
Walatini wana msemo wao mmoja nami nataka niuweke kwenye kiswahili kisicho rasmi, .Mahakama ya haki hufuatwa na wenye mikono safi. Hili halihitaji ufafanuzi, linajieleza na linaeleweka. Ila tu kwa watu wapenda mifano iko hivi, ukienda kumshtaki mtu kwa kesi ya kuiba kuku huku nyuma Mahakama...
CHADEMA NA ACT WAZALENDO ACHENI UTOTO
Kuna kamchezo kakipuuzi sana wanasiasa wa upinzani Tanzania wanakafanya kila uchaguzi mkuu unapokaribia. Jamaa hawajali madhara wanayotusababishia sisi wanachama wa vyama vya upinzani tunaoamini ipo siku tutaitoa CCM madarakani na kufanya mageuzi ya...
*HIVI CHADEMA TUPO SIRIAZI KWELI?*
07 Juni, 2020
Minong’ono ya muda mrefu hatimaye leo imekuwa kweli kwamba Tundu Antipas Lissu aliyejificha ughaibuni baada ya kushambuliwa vibaya kwa risasi Makao Makuu Dodoma anaandaliwa mpango wa kugombea kiti cha urais kupitia CHADEMA.
Kwamba, mkakati...
*CHADEMA na ACT Maendeleo.*
Mimi ni mpenzi wa siasa na niliyefurahishwa sana na siasa za Tanzania, kuanzia chama kimoja yaani kabla ya mwaka 1992 na baada ya kuanza kwa vyama vingi ambavyo uchaguzi wake wa kwanza ulifanyika mwaka 1995.
Naomba nikiri kuwa nilipendezwa sana na siasa za upinzani...
*BABA ASKOFU NIWEMUGIZI UNATUKWAZA SANA WAKATOLIKI WA RULENGE-NGARA.*
Ni wiki ya pili leo naonja machungu ya kutokwenda kanisani kusali ibada ya Jumapili. Ni kutokana na agizo la Baba Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara aliyeamua kusitisha ibada za Jumapili Makanisani...
ZITTO AJIBIWA KWA MIKWAJU 10 YA KAFULILA.[emoji116]soma iyo!
NATOFAUTIANA NA ZITTO KUHUSU RIPOTI ZA CAG NA MWENENDO WA UCHUMI
Na David Kafulila!
Aprili 12,2020-SONGWE
Aliyekuwa Rais wa Marekani, George W.Bush alipata kusema kwamba uongo ukirudiwa una nafasi ya kugeuka kuwa ukweli wa watu...
ZITTO KABWE AUMBUKA.
Kampeni yake chafu dhidi ya Tanzania yakwama.
_
Benki ya Dunia yaidhinisha Mabilioni ya fedha za kusaidia Elimu alizotaka Tanzania inyimwe.
Saa chache zilizopita Benki ya Dunia kupitia Bodi ya Wakurugenzi Watendaji ya Chama cha Maendeleo ya Kimataifa (IDA) imefanya maamuzi...
*The Disturbing Silence Of Dar US Embassy Over New COVID-19 Case*
By Advocate John Kimbisa, Dar
Early today we learnt that a U.S citizen is among those confirmed with positive test for corona virus in Tanzania. This comes few days after his arrival from an unnamed destination.
It ought to be...
*UBALOZI WA MAREKANI, MBONA KWENYE HILI LA RAIA WENU KUINGIA TANZANIA AKIWA NA CORONA MMEKAA KIMYA?.*
Jana raia mmoja wa Marekani mwenye umri wa miaka 61 ambaye ni mfanyakazi wa Ubalozi wa Marekani hapa nchini Tanzania amekua mtu wa pili kuingia nchini Tanzania akiwa na virusi vya ugonjwa wa...
RAIS MAGUFULI AMLIPIA PETER MSIGWA MILIONI 38
-
Rais John Magufuli amemlipia Tsh. Milioni 38 Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa kati ya Tsh. Milioni 40 alizotakiwa kutoa kama faini
-
Msigwa alihukumiwa na Viongozi wengine wa CHADEMA ktk Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
-
Kaka wa Peter Msigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.