Recent content by Egnecious

  1. Egnecious

    POTOSHI Pichaa hii ya Padri Kitima na John Heche walipofanya mazungumzo Januari 06, 2026

    Siku ya juzi January 6, 2026 PADRI CHARLES KITIMA alikutana na JOHN WEGESA HECHE na walifanya mazungumzo yaliyoanza saa 5:05 asubuhi na kumalizika saa 7:17 mchana. Katika kikao hicho, JOHN HECHE alimpa mrejesho wa mipango ya CHADEMA kwa mwaka 2026, Kubwa zaidi likiwa maombi ya fedha...
  2. Egnecious

    Maandamano ya Krismasi yapuuzwa Tanzania, Maria Sarungi akosolewa kwa kusambaza picha na video za uongo

    Maandamano yaliyopangwa kufanyika nchini Tanzania Siku ya Krismasi hayakufanyika, baada ya wananchi wengi kupuuza wito wa maandamano uliokuwa ukisambazwa mitandaoni na badala yake kuendelea kusherehekea sikukuu hiyo kwa amani. Tukio hili limeambatana na ukosoaji mkubwa dhidi ya mwanaharakati...
  3. Egnecious

    Tafsiri ya kauli za Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa; Tanzania kama nuru ya amani, umoja na usalama duniani

    TAFSIRI YA KAULI ZA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA: TANZANIA KAMA NURU YA AMANI, UMOJA NA USALAMA DUNIANI Na GULATONE MASIGA Kauli ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. António Guterres, wakati akipokea ujumbe maalum wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan uliowasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya...
  4. Egnecious

    PostGE2025 Je, TEC wanataka “kuupora” Urais wa Samia kwa nguvu

    Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC)jana kupitia tamko LAO wameamua kuja na mashinikizo badala ya maridhiano,visasi badala ya kuponya, uchochezi badala ya amani. Sijashangaa sana kwani huu ni utamaduni wao pale wanapoamua kulinda maslahi yao na makundi yao. Nilitegemea baada ya...
  5. Egnecious

    Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    POLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo: 1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua...
  6. Egnecious

    Askofu Gwajima na siasa za ukabila, unafiki, uzandiki na jitihada za kuligawa taifa kwa mwamvuli wa dini

    🚨𝐆𝐰𝐚𝐣𝐢𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐚𝐬𝐚 𝐳𝐚 𝐔𝐤𝐚𝐛𝐢𝐥𝐚, 𝐔𝐧𝐚𝐟𝐢𝐤𝐢, 𝐔𝐳𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐢 𝐧𝐚 𝐉𝐢𝐭𝐢𝐡𝐚𝐝𝐚 𝐳𝐚 𝐊𝐮𝐥𝐢𝐠𝐚𝐰𝐚 𝐓𝐚𝐢𝐟𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐌𝐰𝐚𝐦𝐯𝐮𝐥𝐢 𝐰𝐚 𝐃𝐢𝐧𝐢. 👉Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga...
  7. Egnecious

    Rais Samia na mageuzi makubwa ya bandari ya Dar es Salaam

    Chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia sekta ya bandari kupitia uwekezaji wa DP World imepata mageuzi makubwa. Ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam umeongezeka kwa kiwango cha kihistoria, gharama za uendeshaji zimepungua,mapato ya serikali ymeongezeka kwa kasi. Moja ya mafanikio makubwa ni kupungua...
  8. Egnecious

    Maria Sarungi na chuki dhidi ya Rais Samia na wazanzibar

    Inasikitisha kuona mtu kama Maria Sarungi anayejiita mwanaharakati wa haki za binadamu, akiendelea kuonyesha chuki waziwazi dhidi ya Rais Samia na Wazanzibari kwa ujumla. Kila jambo linalotokea nchini kwake linageuzwa lawama kwa Rais Samia, hata yale yasiyomhusu moja kwa moja. Mbaya zaidi...
  9. Egnecious

    PreGE2025 Gwajima maji ya shingo, kaanza kutapatapa

    Askofu Josephat Gwajima ni mwanasiasa ambaye amekuwa kwa mara kadhaa akitoa matamko na misimamo ambayo inalenga kumtengenezea umaarufu yeye binafsi kwa maslahi yake mwenyewe. Ikumbukwe mwaka 2019 ziliposambaa mtandaoni picha za ngono ambazo yeye mwenyewe baadae alijitokeza na kusema...
  10. Egnecious

    Hoja sita juu ya Martha Karua kuzuiliwa kuingia nchini

    Watu wenye akili ndogo kama wewe ni hasara Kwa Taifa letu mwenzako katoa fact we unaishia kuita upuuzi si umjibu
  11. Egnecious

    Mafanikio ya Rais Samia katika sekta ya madini kwa kipindi cha uongozi wake

    Mpango wa Ununuzi wa Dhahabu wa Trilioni 1. Mpango huu unalenga kuimarisha hifadhi ya dhahabu ya taifa. Hii ni hatua ya kimkakati ya kuhakikisha kwamba Tanzania inabaki na sehemu kubwa ya faida inayotokana na madini yake, badala ya kuviuza kwa bei nafuu nje ya nchi. Aidha, serikali imetenga...
  12. Egnecious

    PreGE2025 Mbunge Wa Temeke akiwasilisha Utekelezaji wa Ilani Kata ya Keko

    Mhe Dolothy Kilave katika utekelezaji wa majukumu yake Jimboni
  13. Egnecious

    Wasifu wa Samia Suluhu Hassan

    Wasifu wa MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MAISHA YAKE Mhe. Samia Suluhu Hassan alizaliwa Januari 27, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja. Ameolewa na Bw. Hafidh Ameir na wamejaaliwa watoto wanne, watatu wa kiume na mmoja wa kike. ELIMU...
  14. Egnecious

    PreGE2025 Ofisi ya Mbunge jimbo la Temeke linawakumbusha wananchi kujiandikisha kwenye Daftari la Maboresho la Mpiga kura

    Mnakumbushwa Ndugu Wananchi wenye vigezo kujiandisha isije fika October mnaanza kelele kura zenu zimeibiwa kumbe hamkujiandikisha
Back
Top Bottom