Sawa lakn isiwe kwa wapinzan tu, yaelekea miaka 50+ccm gaina wataalam sasa hawa waliopo ni wa ukawa ndio maana mnasema ukawa wanao wataalam wa kuwatibu
Tatzo ni ukame mfukon na nyie mmezid na minenguo, kijana kama ana uhakika kukupata kila siku au hata mara 3 kwa wk sidhan kama hiyo hali inaweza kutokea
Wapo wanaosema mwanamke asipopigwa mwanaume tarajia kuoa na kunaacha kila baada ya miezi 6, lakn akipitishwa kibao ndoa inadumu na yeye anarudi katka mstari.Na mwanaume asipokuwa mvumilivu juu ya mwenza wake tarajia kuoa na kuacha kila uchao
Umemjibu vyema mkuu, jamaa anafkri ukubwa wa pua ndo wingi wa makamasi.Hataivo ccm uchangiwa na serikali kujiimalisha na utumia kodi za wananchi wote na wasio wanaccm sasa cdm wananafasi hiyo?
Hii hali nimeizoea kuiona katk nchi zilizotengwa na jumuhiya ya kimataifa, sidhan kama ally bashir wa sudan anaweza kwenda, Nkrunziza, Alli asad nk. Sasa sis tuwe kundi gani ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.