Nimepitia comments nyingi ziko negative na madalali kuonesha watu wana wivu na madalali wakati udalali ni kazi ambayo watu kama sisi inatuingizia kipato acheni dharau kwenye hustle za watu kama unaona unamfaidisha dalali usimshirikishe kwenye mipango yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.