Recent content by eerua

  1. eerua

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Huyu atakuwa ni mbunge viti maalum nakumbuka alilia enzi ya Magu
  2. eerua

    Jambo gani umewahi kusingiziwa likakudhalilisha kwenye jamii?

    Niliwai singiziwa nataka kuchoma shule bweni,nilichapwa parade na kufukuzwa shule form 2 ilikua,tokea hapo mambo hayakua sawa
  3. eerua

    Uzi kwa wale tuliofilisika

    Naelewa sana hichi unachosema...kijana pia nlipata hela zakujimudu na Maisha na familia yangu.nilikua na kampuni ya jenzi inafanya vizuri tu mkoani huko.mikosi ilitokea ghafla kifusi nimekipanga mvua ikapiga kikazilewa Hapo nimekopa Lita 20,000 za diesel,tipper kumi zipo site kama siku 15 per...
  4. eerua

    Huwa unafanyaje kurudisha uhusiano mzuri na baba yako, kipindi nguvu ya chuki inapokuwa kubwa zaidi?

    Kurudisha ukaribu na Baba yake kwa story aliyotupa na baba yake labda Mungu pekee atende Miujiza.tofauti na hapo namshauri afanye mema yanayostahili.Hujamkosea mzazi
  5. eerua

    Huwa unafanyaje kurudisha uhusiano mzuri na baba yako, kipindi nguvu ya chuki inapokuwa kubwa zaidi?

    Sio lazima uchangie kila kitu mkuu.Busara ungesoma kwanza
  6. eerua

    Usihangaike na kufanya diet.suluhisho limepatikana

    Mkuu naomba jina LA kitabu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. eerua

    Hii ni Ndoto hii

    Unaroho nyeusi sana.hata km humpend huu sio ubinadamu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom