Recent content by Eee lelo

  1. E

    JamiiForums Tanzania Napinga Njama zozote za kuwarejesha Wasaliti Chadema akiwemo Dkt Slaa na Halima Mdee, Walishafukuzwa na Baraza Kuu

    Hakuna rafiki wala adui wa kudumu katika siasa.yeyote muda wowote anaweza kuwa rafiki au adui yako. Maisha yenyewe mafupi afu unataka kujibebesha mizigo
  2. E

    JamiiForums Tanzania Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

    Huge for nothing
  3. E

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sugu apumua, Lucas Mwashambwa hatagombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini aamua kumwachia Dr Tulia aendelee kuleta Maendeleo!

    Sugu si habari tena hapa jiji,ni Bora akatulia mpaka Dada wa dunia utakaposema inatosha.vinginevyo atapoteza visenti vyake tu kwenye kampeni.2020 alitumia kilikuu kupiga kampeni,safari akijichanganya atatumia guta.Miaka 10 aliyoongoza jimbo inamtosha,hatuna historia ya mbunge kuongoza zaidi ya...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara

    Hii inakatisha tamaa,lkn Mungu yupo huenda anamakusudi yake,kumfunga mtoto wa kike miaka yote hiyo je wangapi wataathirika na hukumu hii? Anyway anayehukumu Leo Naye anasubiri kuhukumiwa after life
  5. E

    JamiiForums Tanzania Anayejua kwanini Polisi jijini Mbeya jana Jumamosi 04/11 waliandamana atujuze

    Rpc alishatoa ufafanuzi,tafuta video yake YouTube
  6. E

    JamiiForums Tanzania Lissu angekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA ingekuwa vizuri, Mbowe akae pembeni

    Akae pembeni? Hiyo Saccos amwachie nani? Huyu ni mwenyekiti wa maisha
  7. E

    JamiiForums Tanzania Wanambeya, mtakuwa wajinga kutomchagua tena Spika Tulia

    Dr.Tulia ndo habari ya Wana Mbeya kwasasa, atakaye jaribu kukaa mbele atasagwa sagwa,Jiji lazima liendane na hadhi ya Mbunge,Tulia ni hazina ya Wana Mbeya,Jiji limetulia na Dr Tulia
  8. E

    JamiiForums Tanzania CCM MBEYA MJINI Na maandalizi ya RAIS wa MABUNGE duniani

    Chama Cha mapinduzi chini ya mwenyekiti Ccm wilaya kipo kufanya maandalizi kabambe ya Kumpokea MBUNGE wao kipenzi Daktari.Tulia Ackson ambaye hapo jana amechaguliwa kwa kishindo kuwa RAIS wa umoja wa MABUNGE Duniani (IPU),wana Mbeya na msio Wana Mbeya mnakaribishwa Sana kuungana nasi,tarehe ya...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Padri Dkt. Kitima: Sikujua sababu ya kuitwa Ikulu, msimamo wetu ni ule ule, hatukubaliani na IGA

    Hayo ungeyasema huko ulikoalikwa kabla hata ya chai nzito kuinywa,endeleeni na msimamo wenu Serikali nayo iendeleee na msimamo wake,hakuna kilichokikamilifu iwe taasisi ya dini au serikali,Cha msingi maisha yaendelee, hata kwenye taasisi zenu za kidini kuna mapungufu mazito lkn tunaendelea...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

    MCHAWI MPE MWANAO AKULELE
  11. E

    JamiiForums Tanzania Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

    Hii adhabu labda itakiweka kichwa chake vizuri maana alishapitiliza mstari wa hekima
  12. E

    JamiiForums Tanzania Wimbi la urejeshaji kadi Za CCM lapamba moto!!

    Rudisha kama itakupa ahueni
  13. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ni makosa makubwa kulinganisha Nairobi na DSM au Kenya na Tz,Iko hivi,Tanzania imejengwa na WA Tanzania wenyewe wakati Kenya imejengwa kwa jasho la wakoloni,Tz Iko mbali Sana,fikiria Tz tungejengewa kama wakenya walivyojengewa na mabwana zao tungekuwa mbali Sana.Wakenya wawashukuru waingerereza...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Dkt Slaa: Kukamatwa hakutonirudisha Nyuma, ni heri kuhukumiwa Duniani kuliko kuhukumiwa Mbinguni

    Kadingi kameamua kuji brand upya kupitia bandari, safari hii hupewi cheo chochote,kama hukutunza hela za ubalozi imekula kwako,zama zako zimekwisha
  15. E

    JamiiForums Tanzania Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Hawa nao ni binadamu kama sisi, sio wakamilifu kama sisi,walichokisema ni utashi wao Wala si wa Mungu,serikali endeleeni na michakato kama kawaida maana nyie ndo wabeba maono ya watanzania.Waacheni Hawa waendelee kuchanganya mafuta na maji Kuna Mahali wataji lock,Kama ni uzalendo wa kuipenda...
Back
Top Bottom