1.Kwanini mr.p.
Anaomba kuhifadhi wageni wapya tena wa rangi nyeupe kutokea nchi za mbaali saana,
Japo kua rwanda ni nchi ndogo saana tena ilojawa na wakimbizi mipakani mwa nchi jirani kama Tanzania.
2. Kwanini asiwakusanye wenye asilia makambini na kuwaleta pamoja kuijenga Rwanda moja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.