Recent content by Edward Aloyce Gerem

  1. Edward Aloyce Gerem

    Kama kweli Rais wetu anapendwa na Wananchi apimwe kwa mambo makuu matatu

    Hapana wakati mwingine tutambue taifa letu lilikuwa limefikia wapi na liliitaji MTU wa aina gani aliongoze....kimsingi taifa hill lili hitaji MTU kama jpm kufanikisha yote changamoto hazikosekani na madhaifu kama mwanadamu hayakosi vipi kumjaji MTU kwa mabaya kuliko pia kuangalia mazuri aliyoyafanya
  2. Edward Aloyce Gerem

    Salamu kwa Wasajili vya vitambulisho vya utaifa(NIDA)

    Wahusika wa usajili wa vitambulisho vya utaifa ...sasa najua mko kwenye kanda zenu mkisajili watu lakini kumbukeni kuwa kwenye hizo kanda kuna wakazi hawapo ..watu hawa ni wengi na wako mbali na hawataweza wahi zoezi ...kundi hilo ni wanafunzi wa vyuo vikuuuu kundi hilo liko vyuoni mikoani ...
  3. Edward Aloyce Gerem

    Nini maana ya ndoto hii?

    NDOTO YANGU.... Ilikuwa ni saa 20:17 nilipanda kitandani mpaka kufikia dakika ya 12 toka nilipo panda kitandani ...nilikuwa tayari nimekwisha shikwa usingizi...ghafla ndoto ya ajabu ilikuja ndoto hiyo nilishindwa kuitafasili . Nikiwa ndotoni nilipata kuona ufalme mzuri uliopendwa na watu...
  4. Edward Aloyce Gerem

    Bodi ya mikopo mnataka watu waishije??

    Asante ntalekebisha lakini ujumbe umefika amma bado
  5. Edward Aloyce Gerem

    Bodi ya mikopo mnataka watu waishije??

    Bado vyuo vingine bwana maybe udsm tayari lakini udom , na vyuo vingine hakuna
  6. Edward Aloyce Gerem

    Bodi ya mikopo mnataka watu waishije??

    Body ya mikopo mwaka 2017/1018.ilitoa mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza .Kulingana na mfumo wa uombaji wa nafasi za chuo kwenye vyuo husika...hii imepelekea wanafunzi wengi kupata multiple selection (kuchaguliwa zaidi ya chuo kimoja) Halii hii ilipelekea heslb kupeleka pesa Kwenye chuo...
  7. Edward Aloyce Gerem

    Selikari ituangalie kwa jicho la pili na la tatu wanafunzi tunao hitaji mkopo

    Hii imekua kero kwa watoto wengi wa masikini,na imepelekea watu kuahilisha na kutumia pesa zao baada ya kubaini kuwa kinacho fanywa na heslb ni kama udanganyifu vijana wengi hawajapata mkopo na kiuhalisia wengi hatuwezi kujisomesha.....taarifa juu ya hili hakuna wala body kutoa mwanga jwamba...
  8. Edward Aloyce Gerem

    Wanafunzi wote zaidi ya 58,000 wa Mwaka wa kwanza kupata mkopo ndani ya saa 48 zijazo

    Kwakweli daluso na nyie mnataka kukera make taarifa zenu hazina uhakika hata kidogoo vip jamani masaaa 48 yamekwishaaa
Back
Top Bottom