MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kama kweli Rais wetu kipenzi cha wanyonge anapendwa sana na wananchi wote kwa ujumla. Kulijua hilo naomba tumpime kwa mambo makuu 3 yafuatayo 2020,
1.Asimame kweye urais na Tundu Lissu kugombea.
2.Tupate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ya nchi.
3.Mikutano ya kisiasa iruhusiwe.
1.Asimame kweye urais na Tundu Lissu kugombea.
2.Tupate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ya nchi.
3.Mikutano ya kisiasa iruhusiwe.