Recent content by edukilo

  1. E

    Nawaza tu: Magufuli kuundiwa zengwe?

    Waliozoe kinyonga ndani ya ccm wamekwisha kimbia wapo ukawa lakini nzuri kutahadharisha
  2. E

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Ni sawa kuwa hiyo wizara iwe chini ya raisi naunga mkono hoja
  3. E

    Kwa hili Kikwete ulikosea sana na sijui tukueleweje

    Kujilinda kwanza ndo garama hata wewe hao baba zako na mama zako wanahitji kulindwa hizo za kulazwa ni matokeo ya mungu hayazuiliki lakini ujinga wa intarahamwe unahitaji kudhibitiwa
  4. E

    CCM bado hamjairudisha Kanda ya Ziwa

    Wachaga na wajaluo walipata ubunge mwanza Na huko moshi na arusha wajitokeze makabila mengine yagombee wakipendwa watapita au?
  5. E

    Kwa hili Kikwete ulikosea sana na sijui tukueleweje

    Alifanya sawa tu kuagiza magari maana inatarhamwe walianza kuandaliwa na watu fulani flani kwa kuutaka uraisi Bila hayo magari ingekua mhemko
  6. E

    Msaidizi wa Kampeni wa Edward Lowassa mbaroni

    Hujaridhika wewe tu nakundi lako ktkt matokeo
  7. E

    Serikali ya Magufuli itakuwa ya kulipa Fidia kama wizara alizowahi kuziongoza

    Tena kulipa fidia hilo aliondoe hii serikali anaendesha yeye na sheria anazifaham ule mchezo wa kifisadi kuhusu samaki inajilikana ilikua njama tu za mafisadi
  8. E

    Hakuna sababu ya kuwa na Mawaziri, Magufuli peke yake anatosha kufanya za wizara zote

    Tatizo anaugonjwa wa kutokujua nini atasema na ugonjwa wakusahau tumuache akachunge ng'ombe zake jamani
  9. E

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Jamani marehem mtikila atutuambia huyo mzee ni mgonjwa na akili yake inavomtuma kusema yeye ni furaha kwake hata kama sio sawa asamehewe kwa hali aliyonayo jamani
  10. E

    MwanaHalisi: Kikwete akomba hazina! Fedha zilizopo hazitoshi kuendesha serikali hata siku 20

    Waliomchagua ni walewale wasojua nini maana ya ndumila kuwili leo hivi kesho vile Maana ya uawandishi ni kusimamia unachokiamini sio leo fulani fisadi hasafishiki kesho unagekuaka ile kalama niliondikia sio yangu
  11. E

    MwanaHalisi: Kikwete akomba hazina! Fedha zilizopo hazitoshi kuendesha serikali hata siku 20

    Mwenye kumiliki gazeti mwenye kanjanja nani ataamini habari zake kesho habari atasifia kia serekali inapesa haina la kufanya yatakua ya lowasa fisadi kesho lowasa malaika
  12. E

    Magufuli, Pesa hizi zinatoka wapi?

    Zitatoka kwa mafisadi walokuwa wanakwepa kulipa kodi
  13. E

    Baraza kuu la CUF lakataa kurudia uchaguzi Zanzibar!

    Kama wamekataa cuf peke yao je vingine haviruhusiwi kurudia uchaguzi?
  14. E

    Tuseme kweli ili tuwe huru: Kama Zanzibar ikijitenga nini kitatokea...

    Kitakacho tokea ni wengine watafurahi wengine watalia hakuna zaid ya hayo
  15. E

    Rais Magufuli mpeleke Lowassa Mahakamani kama ni fisadi

    Kweli wachawi wao wenyewe chadema walionza kumuta fisadi na akipelekwa mahakamani ushadi tosha utatoka kwao sasa sijui wanataka wazidi kummaliza kwa kumuoga baada ya kutafuna pesa zake na walichomuahadi uraisi hakuupata
Back
Top Bottom