Recent content by Edu_Idi

  1. Edu_Idi

    Leo mnyama anashinda

    Wamechakazwa vibaya mno
  2. Edu_Idi

    Leo mnyama anashinda

    Umeona lakini waarabu walivyopigwa fimbo??
  3. Edu_Idi

    Acheni upotoshaji kuhusu ranking za CAF

    Yanga ni wapotoshaji mno. Imerithi mikoba ya uongo
  4. Edu_Idi

    Leo mnyama anashinda

    KWa hasira alizonazo mnyama na matendo aliyofanyiwa kule Algeria, basi leo wale Tripoli wanagongwa vingi tu. Wagongwe bila nidhamu.
  5. Edu_Idi

    Wananchi hawapo tayari kufanya mabadiliko. Waache kulalama

    Nafasi ya serikali katika kulinda usalama wa wananchi wake ni mdogo sana. Inawezekana, serikali inaongoza kwa namna ambavyo wananchi wake wanataka. Laiti kama wananchi wanahitaji mabadiliko na hawapendezwi na namna serikali inavyofanya mambo yake, basi uamuzi wanao wenyewe.
  6. Edu_Idi

    Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

    Hii, ilitosha kutahadharisha. Ulimaliza kazi yako kiongozi
  7. Edu_Idi

    Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

    Hili ndilo kosa ulilofanya kufanya judgement. Una uhakika na 100/% yako? Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
  8. Edu_Idi

    Majina ya bia kusadifu Kaskazini mwa Tanzania: Maana yake ni...?

    Umesema sawa sawa Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
  9. Edu_Idi

    Kwa uzalendo wa hali ya juu James Mbatia atakuwa anapanda treni kwenda Moshi huku ni KUB

    Kwasasa CDM wamekosa sifa ya kuongoza kambi ya walio wachache. Hawana sifa tena. Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
  10. Edu_Idi

    Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

    Sawa, usalama wa raia umeongezeka kwa kiwango ambacho kimetajwa, Je kuhusu hizi issue zinazosikika za utekaji na utekwaji hazionekani kama dosari zinazochafua usalama wa raia? Au usalama tunaouzungumzia tu, ni ule wa mipakani? Tukumbuke neno usalama halitumiki kimwili tu bali hata kiroho...
  11. Edu_Idi

    Mabadiliko ya kweli Tanzania yataletwa na Watanzania wenyewe siyo vyama vya siasa!!

    Kama unadhani Tanzania itakombelewa na watu tofauti na wewe,unajidanganya. Nashangaa vijana wengi wanasubiri watu wawapiganie haki zao za msingi. Hapa tunahitaji mapinduzi. Tunadhoofishwa na wachache wenye uchu wa madaraka kuwa tupo kwenye mstari ili mambo yaende. Hayaendi hivi. Tuache...
Back
Top Bottom