Wanajamii kama kuna mtu anazijua movies zinazohusu ukombozi wa SOUTH AFRICA anisaidie coz kuna issue nataka nijifunze kutokana na hizo movies...
Bt mimi nazijua movies mbili tuu nazo ni
1.CATCH A FIRE na
2.SARAFINA
Wanajamii naomba mnisaidie majibu ya haya maswali coz nlihudhuria interview moja na nikaulizwa maswali yenyewe ni haya
1. If you were shrunk to the size of a pencil and put in a blender, how would you get out?
2. What do WOOD and ALCOHOL have in common?
Wanajamii naomba mnisaidie kujua kama ni sahihi kuwaweka REFFAREES wote watatu(3) kutoka Organisationi moja.
Yaani reffarees wote watatu(3) wanafanya kazi kwenye organization moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.