Kula tunda tu la kati kimasihara c mara mojaa nshakula sanaa na c mara Moja na ntaendelea kula sanaa maana cku hz madem njaa inawaponza sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
KATAA NDOAA
NI UTUMWA
Lea wtt wako vyemaa na uwatengenezee mazingiraa matamu waje wajue thaman ya baba maana mama yao alikukabithi ingali anajuaa ww n baba boraaa,,,
Una hya miaka toka utoke kwenye manyanyaso leo tena wataka kujiingiza kwan uwezi mlaa huyo mwalimuu ukapitaa hv na wtt Wako...
Hata Dstv walianza km Azam ,muda utaongeaa nao Azam watakuwa km Dstv na Dstv itakuwaa zaidi ya Azam n swala la mudaa.hata ww ufanani na jiran yako kimapato wala ulaji wako cha msingi kila mtu aplay nafac yake hapo alipo ss,,,DSTV +AZAM
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]c swala la kuchekaa ilaa poleee mkuu,
Kapime na ukimwi mkuu.
KATAA NDOAA NI UTUMWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Amfuatee mwenziee Kimaro likizo isiyo na kikomoo.....
Ila shehe siku si nyingi atakuja na tiba yake mbadala kwenye tv, radio na mitandao na atapiga watu helaa na maisha yataendeleaa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi iendeleee .....
Hata maharagee bei ifike 10000,mm nikiongea huku mtandaon ntabadilisha bei au ndio bei itaongezekaa km wenye magari walivyopiga kelele za petrol kupanda lkn hkn kilichobadilishwa na hakuna aliyepaki gari yake kisa petrol kupandaaa na maishaa yanaendelea...
Sent using Jamii...
Madaa hii inawahusu watumwaa wa ndoaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaonaa ndugu zangu mnavyotesekaa kumbee mpk ukimpakiza mtu siti ya mbelé wakee zenu wananunaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki kazi mnayo mnaojifanya waoajiii [emoji867][emoji867][emoji867]...
Asingewezaa kumaliza mattz yt kwa muda aliokaa palee ,hata km angeka miaka mia bd kuna ambavyo vingekosekanaa ,,,alipofanya panatosha ajae nae aendeleze alipoishia NICKSON....
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndoa zao hazidumu na zikidumu wanapitia mateso makalii nakuja kuanzishaa mada kila cku uku jf kuhusu ndoa zao kisa walioleaa genje....
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.