Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,211
hahaha asilete story za vijiweni.Picha ya hao viongozi wakilia
Dogo jinga Sana hiliDogo unapenda kujipigia promo sana, uongozi hauendi hivyo
Ulisikiaaa wap mtu kakataa kazi mkuu...Form 6 degree hadi masters SITAKI KAZI
Nyooo
Binafsi na mkubali yuko humble na mweledi sanaMheshimiwa Nikki wa pili ameaga Kisarawe na kwenda kibaha. Mkuu wa Wilaya huyu ameacha Historia Kubwa kwenye wilaya ya Kisarawe.
Kisarawe kwa kipindi Cha muda mfupi sana kuna Maendeleo makubwa mno, amemsaidia kazi ipasavyo mama yetu na raisi wetu mpendwa SSH. Kisarawe uchumi umeimarika mno ndani ya muda mfupi sana.
Chini ya mkuu wa Wilaya Nikki wa pili, miradi ya Maendeleo Kisarawe imekuwa mingi Sana ambayo imeleta tija kwa nchi na wananchi. Kisarawe imekua kitovu cha Maendeleo kanda ya pwani, wawekezaji mbali mbali wamevuta sana.
Wakati akiaga Kisarawe, viongozi Wenzake wa wilaya wameishindwa kujizuia na kuanza kulia wakikumbuka makubwa ambayo ameyafanya.
Viongozi vijana aina hii ndio tunaotaka, ni mfano wa kuigwa. Ni vyema pia hata vyama vingine nao waanze kutengeneza viongozi aina hii. Sio chama kinakua na watu aina ya pumbalu, mara sijui mdude.
#kazi inaendelea# SSH 2025# Hakuna kilichosimama
View attachment 2504001
Asingewezaa kumaliza mattz yt kwa muda aliokaa palee ,hata km angeka miaka mia bd kuna ambavyo vingekosekanaa ,,,alipofanya panatosha ajae nae aendeleze alipoishia NICKSON....Sijawahi kuona Kiongizi kilaza kama huyo..ameyacha hoi maeneo mengi ya Kisarawe..Bora alivyokuwa Jokate
Elimuu elimu inamsaidiaa na maisha ya mtaa aliyokuliaa piaaa....Binafsi na mkubali yuko humble na mweledi sana
Yule mke wa mlinzi mtiifu wa Magufuli katemwaHivi DC Sarah Msafiri aliyekuwa Kibaha amehamishiwa wapi?
Tupe sababu tufahamu, nilisoma Advance pale Minaki..Tulowahi ishi kisarawe tunaijua vizuri sanaa
Kisarawe haitakuja endelea leo wale kesho.
Mzee wangu mmoja siku moja aliwahi tuuliza mnajua kwanini pale maeneo ya stendi pana nyumba za udongo mpaka leo?
HAtukuwa na jibu,akatupa sababu.
Kudadeki Niki wa pili acha mbwembwe basi, acha kujisifia sana mwanangu, asee unajipaga mapromo kinomaMheshimiwa Nikki wa pili ameaga Kisarawe na kwenda kibaha. Mkuu wa Wilaya huyu ameacha Historia Kubwa kwenye wilaya ya Kisarawe.
Kisarawe kwa kipindi Cha muda mfupi sana kuna Maendeleo makubwa mno, amemsaidia kazi ipasavyo mama yetu na raisi wetu mpendwa SSH. Kisarawe uchumi umeimarika mno ndani ya muda mfupi sana.
Chini ya mkuu wa Wilaya Nikki wa pili, miradi ya Maendeleo Kisarawe imekuwa mingi Sana ambayo imeleta tija kwa nchi na wananchi. Kisarawe imekua kitovu cha Maendeleo kanda ya pwani, wawekezaji mbali mbali wamevuta sana.
Wakati akiaga Kisarawe, viongozi Wenzake wa wilaya wameishindwa kujizuia na kuanza kulia wakikumbuka makubwa ambayo ameyafanya.
Viongozi vijana aina hii ndio tunaotaka, ni mfano wa kuigwa. Ni vyema pia hata vyama vingine nao waanze kutengeneza viongozi aina hii. Sio chama kinakua na watu aina ya pumbalu, mara sijui mdude.
#kazi inaendelea# SSH 2025# Hakuna kilichosimama
View attachment 2504001