Mi niliona na kung'amua kuwa, ule ulikuwa ni uongo ulotungwa, kwakuwa, mwandishi ajitajaye km mh. Mnyika, ati anajitaja km mbunge wa Ubungo Leo hii. Nikapuuzilia mbali!!!
Kwani wale viongozi wakuu wawili juzi kati hapo walopita, wao walikuwa hawaendi mosques kila ijumaa eeh??
Tena, walikuwa hodari sn kutekeleza nguzo tano, siyo tu Kyle misikitini, Bali walk I ham is him is mosques kwenye ofcn za serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.