Recent content by editor

  1. editor

    Kwa wanaojua laptop vizuri ..nijuze ubora wa hii laptop

    Asanteni jaman kwa msaaɗa wenu ningeingia chaka kumbe..shukrani sana ngja nitafute laptop ƴenye uwezo
  2. editor

    Kwa wanaojua laptop vizuri ..nijuze ubora wa hii laptop

    N Ninataka ƴa gaming,,editing viɗeo,,coɗing..etc..ninahitaji pc yenye sifa zipi..??
  3. editor

    Kwa wanaojua laptop vizuri ..nijuze ubora wa hii laptop

    Shiɗa iko wap nieleweshe basi..mm sielew kitu hapo
  4. editor

    Kwa wanaojua laptop vizuri ..nijuze ubora wa hii laptop

    Nielewesheni uɓora na udhaifu wake hiƴo PC
  5. editor

    Jamani nilikuwa naomba mwenye kufahamu hostel za nje za NIT na nazipataje

    Jaman na nje ya coict-udsm anaejua hostel zake anijuze
  6. editor

    Nimekosa diploma ya ualimu, naombeni ushauri kwa hili

    Kwani second selection taƴari..???
  7. editor

    Jamani nauliza hivi pale duce kuna hosteli?

    Je coict mkuu masuala ya hostel ni vipi????
  8. editor

    Msaada: Maelezo ya kufika CoICT-UDSM Kijitonyama campus

    Naomba kwa mwenye kujua nawezaje kufika coict yaani nipande daladala ya wapi yaan full maelezo ya kufika CoICT Natanguliza shuƙrani.
  9. editor

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Nenda kwenye college&school then utaona download utaona fomu tofauti tofauti kama registration form,medical form n.k
  10. editor

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Chuo..japoƙuwa hata kwenye weɓsite zipo ɓut ni muhimu kuchukulia chuo
  11. editor

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Naomɓa kuuliza kwa wale wazoefu wa udsm .. HIVI KUWAHI AU KUCHELEWA KUCHUƘUA ADMISSION LETTER INA ATHARI GANI ??? HASAHASA KWENYE MAMƁO ƳA HOSTEL
Back
Top Bottom