Recent content by eddyhansy77

  1. E

    Inawezekana Kuwa Rais bora bila kuponda watangulizi wako!

    Na bado! Wanyooshe baba,, kazi tu!!!
  2. E

    Mzee Matson Chizi Mwizi maarufu wa Kura aliyehama CCM na kujiunga CHADEMA

    Chadema walikua sahihi kukufukuza,, una upeo finyu sana!
  3. E

    Haki ya Kikatiba: Hongera Mkuu wa Majeshi, Hongera wana-JF na Watanzania

    Saanane,, aliyetumika kumhujumu Zitto mpaka kufukuzwa Chadema! Ni kijana mmoja asiyeeleweka malengo yake kabisa! Huu uzi unathibitisha upeo wake!
  4. E

    Critical Thinkers tusaidiane, ahadi hii ya Lowassa ilikuwa geresha?

    "Nitashiriki ktk mdahalo wa wagombea Urais, nawaahidi, na sitawaangusha" Ahadi ya Magufuli. Tutambue ya kwamba alichosema Lowassa kuhusu kura ni kwa watakao mpigia kura, Magufuli alituahidi watanzania wote kiujumla!
  5. E

    Dr. Fenela njia nyeupe bungeni

    Ana hali ngumu mno huyo mama! Hadi huruma aisee! Ila kwa propanganda na kujifariji endeleeni!
  6. E

    BBC wakifahamishwa Idhaa ya kiswahili inafanya propaganda za nani, wabongo wote watapigwa chini

    Elimu...Elimu...Elimu Paragraph moja kazi, je ukiambiwa uandike makala? Mungu ibariki Tanzania.
  7. E

    Usichague UKAWA, Usimchague Lowassa, Chagua CCM, Chagua Magufuli, Chagua Amani

    Amani ambayo manufaa yake mmeyaona ninyi, koo zenu pamoja na mahawara zenu? Kwa nini mnapenda kuwadanganya raia? Amani hii ni matunda ya CCM 100%? Au ni kasumba ya Watanzania kusema hewala kwa kila jambo? Sawa, naweza kusema 85% ya misingi ya Amani iliwekwa na Utawala wa Mwalimu Nyerere (akiwa...
  8. E

    Jina lako lina chapa mbili

    Asa mwanzo nilikusoma fresh nikakuelewa na nikavutiwa coz na mimi nahisi na chapa mbili ( ya kimungu na kuzimu) but ulivyoingiza siasa ukanipoteza mazima.....am truly hate politics!! "I trully hate. ,,, NOT am trully hate"
  9. E

    Jina lako lina chapa mbili

    "I trully hate. ,,, NOT am trully hate"
  10. E

    Looking for this equipment in Dar

    Hello members, natafuta hiyo mashine hapa Dar, yeyote mwenye idea where i can get it, plz let me know. Thanks
Back
Top Bottom