Staki kuamini Kama bunge halina taarifa za kuvuliwa uanachama kina Jesca na wenzake, ila wakumbuke tu kuwa hi ni awamu nyingine kabisa. Kuna kila dalili wanaweza kutimuliwa mjengoni
Mm nadhani shida kubwa ipo kwenye usimamizi wa mkandarasi, kuna mda anajenga then baada ya siku ya 2-3 anabomoa af anaanza upya kama hajiamini na kazi yake ka imefika kiwango bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.