Tatizo la watanzani sisi!
Kila mtu tunataka kumchuja na Kitambaa eti asiwe na kosa lolote!
kila mwanadamu ana mapungufu yake jamani ila tunatofautiana!
huyo Mzee Magufuri nae ni binadamu ila ni bora huyo sasa kuliko wale wengine!
sasa tukimchuja kila mtu kwa Upeo huo Unafikiri nani...
jamani Ishu ya msiba na kumzika marehemu si ya kuijadili kabisa yani,..Katika sehemu moja wapo ambayo unatakiwa kuonesha Utu wako kama mwanadamu ni kushiriki katika misiba na maziko!
sasa Usijaribu kumsema mtu hujui kesho yako itakuwaje Jamani!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.