ninachojua na kujifunza hii sio kitu cha kukufanya utajirike kwa haraka bali inahitaji muda mrefu kutajirika na usalama wa fedha ama mtaji wako mkubwa sana
ninachojua na kujifunza hii sio kitu cha kukufanya utajirike kwa haraka bali inahitaji muda mrefu kutajirika na usalama wa fedha ama mtaji wako mkubwa sana
Habari nimevutiwa na uzi huu, ila ningependa kujua gharama ya uendeshaji kutoka vifaranga mpaka kuanza kutaga (kununua vifaranga+chakula na madawa) na pia gharama za maandalizi ya banda?
Ukiwa unalenga kuwa na kuku 900 ni vizuri ukanunua vifaranga kati ya 1000 - 1200 ili ukipitia changamoto za utunzaji wa vifaranga mpaka kufikia umri wa kuanza kutaga ubakiwe na hao 900 ama zaidi. Hii itakusaidia kutunza makisio/makidirio yako vizuri pindi uzalishaji utakapoanza
Mimi nafikiri hapo kuna gharama za awali kabla ya kufikia hao kuku 500 wanaotaga hauja tujumuishia kama;
1) kununua, kukuza vifaranga mpaka vifikie muda wa kutaga
2) mchanganuo wa gharama ya vyakula, madawa, ujenzi wa banda n.k
3) mengineyo (unforseen events)
mawazo yako ni sahihi kama utakuwa...
Aksante kwa uzi huu, naomba kujua unapatikana wapi na natamani hapo baadae kidogo kuanzisha shamba langu dogo la ufugaji wa kuku wa kienyeji aina ya kuchi hivyo ningeomba mawasiliano yako ya simu ndugu. Namba yangu ni 0754496249 na natarajia kuweka shamba langu Dar
Maboresho kidogo ya uzi,
1. (Hivyo kuku 10 watakula kilo 1.3 kwa siku ambayo ni gram 1300) si kuku 10 bali ni kuku 11 hivyo ni gramu 1430 kwa chakula chetu kitatupeleka tabribani siku 95.
2. (Hapa kuku hawa 10 watakupa wastani Wa Mayai 8 kwa siku ambapo kwa mwezi ni Mayai 240) wastani wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.