Recent content by ED-JUNIOR

  1. E

    PICHA: Gari namba T571 DGB imeibiwa Shoppers Plaza Tarehe 23/04/2016

    Gari imeibiwa dkk chache zilizopita shoppers plaza ukiona please cont+255 715 066 278 :confused::confused::confused::confused:
  2. E

    Wakazi wa Arusha wanakunywa maji yasiyo salama

    labda hadi watummbuliwe ndio wataamka
  3. E

    Wakazi wa Arusha wanakunywa maji yasiyo salama

    Kwa wakazi wa Arusha wengi wanalalmika kunywa maji yasiyo salama hasa kipindi cha mvua. pamoja na kulipa bili kubwa za maji na nyingine za kubambikiwa kwa njia ya sms bado idara ya maji imelala. Invyoonyesha pump zilizopo kwenye vyanzo vya maji zinapeleka maji machafu kwa wakazi. nawasihi idara...
  4. E

    Trainer wa mbwa wa nyumbani

    Ni kweli huku Hakuna anaemfahamu mwalimu mzuri wa mbwa wa nyumbani?
  5. E

    Trainer wa mbwa wa nyumbani

    Natafuta mwalimu mzuri wa mbwa nyumbani mwenye kujua naomba anifahamishe tafadhali. Arusha
  6. E

    Watanzania tunaibiwa mchana kweupe TANESCO

    hiyo ni 50,000x18%=9,000
  7. E

    Maji yanatoka na udongo kwenye mabomba jiji la Arusha

    usinywe kabisa maji ya AUWSA mvua zikinyesha tu unachota matope kwenye bomba, hawa jamaa hawako serious kabisa hizi mamlaka za maji wanajua kudai bili hawajui matatizo ya wateja afadhali waweke Luku kama wakenya nadhani itakua kiama chao
  8. E

    Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

    na yale mapikipiki yanoyoongoza misafara ya viongozi nayo yanatega mingo rodini nadhani wale waendeshaji wanaona wenzao wanapiga bao na wao wakaamua kuzama mazima barabarani
  9. E

    Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

    kila mmoja wao ametengeneza kijiwe chake hadi barabara za vumbi utawakuta magwanda vumbi ya kutosha lakini hawabanduki. hawa wame target bodaboda tuu.
  10. E

    Makazi ya Makongoro ni kielelezo tosha kuwa haijui Rushwa, jionee mwenyewe!

    Hiyo sio nyumba yake, jamaa ana bonge la nyumba uzunguni, ukielekea mahakama kuu mkono wa kushoto utaliona jumba lake
  11. E

    Ukitaka kujua Lowassa chaguo la Mungu kaulize basi za Arusha leo na kesho

    Afadhali walau mzunguko wa hela uanze tena. watu wanaanza kuvunja vibox vyao
  12. E

    TANESCO: Mna nini, Mbezi yote ya Kimara hamna umeme siku ya tatu

    TANESCO ni eneo la kuangalia kwa jicho la tatu, hawa jamaa wamebweteka sana na wizara yao kwa ujumla. yule afisa mahusiano anasema kulikua hakuna tatizo la luku ilhal misusruru ilionekana ikitafuta hiyo bidhaa upuuzi mtupu. nilienda kulipa bill pale magomeni mida ya saa sita wakanikatalia...
  13. E

    CRDB Bank mmenikwamisha, mmenikera, mmenidhalilisha sana

    wana charges za kijinga sana, ukisahau password ya card lazima ulizwe 5,000 ku-resert. salio ndio usiseme. wabadilike bana maana huu ni wizi mcha kweupee.
Back
Top Bottom