Kuna kipindi niko Dar nilifahamiana na binti mmoja alikuwa anasoma UDSM (tumwite Jane siyo jina lake halisi) na mm pia nilikuwa nasoma hapo. Sasa yeye alikuwa na changamoto flani iliyomsumbua sana na kupitia kufahamiana kwetu akawa ameniganda sana na kuniomba nimsaidie. nikaona isiwe tabu maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.