Habari za mchana,,
Unanifurahisha Sana, unafikiri watakuruhusu kuweka kambi kwenye hospitali za serikali alafu dawa zako zinafanya kazi,,,?
Madaktari wakiona umati unakuja kwako na sio hospitalini tena,, basi watajiunga wakuletee timbwili ambalo sizani kama utaweza kulishinda,,,!!!