Watu wanashindwa kuelewa...biblia imeweka wazi kwamba ni amri mwanaume kumpenda mke wake, na kwa mwanamke imesema amtii mme wake. Ukitaka heshima, unyenyekevu wa mwanamke, ukitaka kufurahia ndoa yako... mpende mkeo. Unapozidisha upendo kwa mkeo, ndivyo utakavyozidi kufurahia ndoa yako na ndivyo...