BAJETI YA MANUNUZI YA BINADAMU IMESHAANZA KUFANYA KAZI.
WATU HAWANA AKILI UNAPOTEZA PESA KUNUNUA WATU UNAFIKIRI WATAISHA? YAANI AKITOKA HUYO ANAKUJA MWINGINE USIKUTE NDO ATAKUWA WA MOTO ZAIDI.
MNAHARINU PESA ZA WALIPA KODI
Wasichokijua watanzania wanataka Chama pinzani cha kikweli chadema imefanikiwa kupata taswira hiyo kwa watanzania. Hivyo hata wakifanikiwa kumnunua Heche na Lissu bado haitasaidia itaonekana tu na wao walikuwa mamruki kama ilivyokuwa kwa Mbowe.
Watapoteza tu pesa zao bure
Yaani wewe unahisi kuna siku ATCL itatengeneza faida? Shirika linaloendeshwa kisiasa na CCM!! Never, unaota gentleman amka utajikojolea.
Labda watangaze faida ya uongo ili kufurahisha jamii, lakini faida ya kweli kwa ATCL katika kipindi hiki cha ushindani wa kimataifa kwa mashirika ya ndege...
Hiyo sura al_baqarah : 183 inasema
"Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamungu."
Swali; Je hao walioandikiwa kufunga kabla ya waislam ni akina nani? Ni akina nani waliokuwa wanafunga siku 30+6 kabla ya waislam ?
Ramadhani ya kwanza...
Wasilipe tu wala rushwa CAF na warabu wao hawana maana yoyote. Alafu si wanajifanyaga serikali zisiingilie michezo wanataka hela ya nini sasa kutoka Serikalini ? Wanataka watoe hela alafu wakagawane huku na hongo nyingine wanachukua pumbavu
Mbogamboga hivi hamna akili kweli au mnajitoa akili kwa makusudii?? Mnamlaumu Kitima kwakosa gani?? Hebu semeni kanisa limeongopa wapi??? Kitima kaongopa wapi si mumpeleke mahakamani kama kaongopa???
Mnakera Mbogamboga hamjui tu, yaani mtu akisema ukweli kwenu ni adui
"Kule upande wa pili leo hii hakuna anayetaka kuandamana" hii Kauli imenitia huzuni sana jinsi ilivyotolewa na facial expression yake ni kama anajisifia kuwa kafanikiwa kupitia tukio alilofanya na kutia hofu kwa vijana
CCM wanajua kabisa chadema ipo katika mioyo ya watanzania wengi ndomana wanaiogopa. Wakiingia katika uchaguzi huru na wahaki ccm wanapigwa mapema asubuhi.
CCM wamebakiza kutumia vyombo vya Dola ili kubakia madarakani kwa hila baaasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.