Recent content by Ebe

  1. Ebe

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu CHADEMA Kanda ya Kaskazini ajiuzulu nafasi hiyo na kujivua uanachama

    BAJETI YA MANUNUZI YA BINADAMU IMESHAANZA KUFANYA KAZI. WATU HAWANA AKILI UNAPOTEZA PESA KUNUNUA WATU UNAFIKIRI WATAISHA? YAANI AKITOKA HUYO ANAKUJA MWINGINE USIKUTE NDO ATAKUWA WA MOTO ZAIDI. MNAHARINU PESA ZA WALIPA KODI
  2. Ebe

    JamiiForums Tanzania Njama ya awamu ya 5 ya kuunga mkono Juhudi yarejeshwa tena, Mlengwa mkuu ni viongozi wa Chadema

    Wasichokijua watanzania wanataka Chama pinzani cha kikweli chadema imefanikiwa kupata taswira hiyo kwa watanzania. Hivyo hata wakifanikiwa kumnunua Heche na Lissu bado haitasaidia itaonekana tu na wao walikuwa mamruki kama ilivyokuwa kwa Mbowe. Watapoteza tu pesa zao bure
  3. Ebe

    JamiiForums Tanzania CAG: Shirika la Ndege ATCL limepata hasara Tsh Bilioni 191.91. Ni ongezeko la 108% ndani ya mwaka mmoja

    Yaani wewe unahisi kuna siku ATCL itatengeneza faida? Shirika linaloendeshwa kisiasa na CCM!! Never, unaota gentleman amka utajikojolea. Labda watangaze faida ya uongo ili kufurahisha jamii, lakini faida ya kweli kwa ATCL katika kipindi hiki cha ushindani wa kimataifa kwa mashirika ya ndege...
  4. Ebe

    JamiiForums Tanzania Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Hiyo sura al_baqarah : 183 inasema "Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamungu." Swali; Je hao walioandikiwa kufunga kabla ya waislam ni akina nani? Ni akina nani waliokuwa wanafunga siku 30+6 kabla ya waislam ? Ramadhani ya kwanza...
  5. Ebe

    JamiiForums Tanzania Kenya hatarini kupoteza Haki ya kuandaa AFCON 2027 kwa kushinwa kulipa ada ya uandaaji

    Wasilipe tu wala rushwa CAF na warabu wao hawana maana yoyote. Alafu si wanajifanyaga serikali zisiingilie michezo wanataka hela ya nini sasa kutoka Serikalini ? Wanataka watoe hela alafu wakagawane huku na hongo nyingine wanachukua pumbavu
  6. Ebe

    JamiiForums Tanzania Kama binadamu kuzaa kwa uchungu ni adhabu vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi, nguruwe na wanyama wengine wanaozaa kwa uchungu?

    Umejuqje kama wanyama nao wanasikia maumivu wakati wa kuzaa?
  7. Ebe

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Mbogamboga hivi hamna akili kweli au mnajitoa akili kwa makusudii?? Mnamlaumu Kitima kwakosa gani?? Hebu semeni kanisa limeongopa wapi??? Kitima kaongopa wapi si mumpeleke mahakamani kama kaongopa??? Mnakera Mbogamboga hamjui tu, yaani mtu akisema ukweli kwenu ni adui
  8. Ebe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia: Nimeliponya Taifa kwa kuanzisha Wizara ya Vijana na kuwaachia huru watuhumiwa wa kesi ya Uhaini

    Bora angekuwa anakaa kimya kuliko kutia hasira watu
  9. Ebe

    JamiiForums Tanzania Pole Prof. Adolf Mkenda kwa ugumu wa mazingira ya kazi

    Elimu mbalimbali
  10. Ebe

    JamiiForums Tanzania Njia nyepesi kwa CHADEMA ni kuomba radhi Watanzania, nothing else

    Upumbavu mtupu umeandika
  11. Ebe

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anayekaa madarakani sababu ya kiburi cha risasi na jeshi huondoka madarakani kirahisi sana

    "Kule upande wa pili leo hii hakuna anayetaka kuandamana" hii Kauli imenitia huzuni sana jinsi ilivyotolewa na facial expression yake ni kama anajisifia kuwa kafanikiwa kupitia tukio alilofanya na kutia hofu kwa vijana
  12. Ebe

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2025 umeisha tunaingia 2026, Utamkumbuka Samia kwa lipi?

    Tyrant of the year
  13. Ebe

    JamiiForums Tanzania CCM inaigopa CHADEMA

    CCM wanajua kabisa chadema ipo katika mioyo ya watanzania wengi ndomana wanaiogopa. Wakiingia katika uchaguzi huru na wahaki ccm wanapigwa mapema asubuhi. CCM wamebakiza kutumia vyombo vya Dola ili kubakia madarakani kwa hila baaasi
Back
Top Bottom