Recent content by Easy E

  1. E

    JamiiForums Tanzania Amatus Liyumba: Balaa!

    Hivi kwanini mara nyingi watu weusi wakitajorika basi ngono itawafilisi au kuwaua kabisa. E.g Rkelly, pdiddy, mystikal, Easy E...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Nimewaharau ghafla Tupac na P Diddy ni baada ya kugundua ni mabingwa wa sampling

    Rap karibia zote ni sampling, ndio maana wanazi wa mziki wanasema hiphop sio mziki
  3. E

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa mbabe wa kivita Liberia, Prince Johnson afariki dunia akiwa na miaka 72

    Africa hakunaga wanamapinduzi.. Wote wanapigania matumbo yao tu.. Ushahidi ni hao hao kina Taylor baada kupindua hawakufanya lolote zaidi ya matanuzi.. kuna model anaitwa naomi campbell amekula sana almasi za liberia alizokuwa anahongwa na charles taylor.. halafu bado akamsnitch mahakamani...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa mbabe wa kivita Liberia, Prince Johnson afariki dunia akiwa na miaka 72

    Na mzungu analijua hilo. Kwanza lazima atatengeneza jeshi la kabila lake ili limiliki rasilimali za nchi nzima. Mzungu anachofanya anawapa makundi pinzani silaha ili mfyatuane maana anajua hatuna umoja.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Kanye West product mpya ya Viatu Vyake Vyauzwa Zaidi ya Dola Milioni 2 Ndani ya Saa 24

    Usimpo flani mkali kinyama 😆
  6. E

    JamiiForums Tanzania Gigy Money anaumwa kalazwa Muhimbili ICU

    Gigy ni kiki kiki... naikubali hiyo nyimbo yake.. Na usikute anatengeneza kiki nyingine. Ila kuna yule sijui amber lulu ana kipaji sana cha mziki ila ndio wenge jingi kawa cha pombe hatari
  7. E

    JamiiForums Tanzania Majuto ya Chid Benz

    Usikute hata kinachid walikuwa wanasema hivyo hivyo... si mvute tu oxygen ya Mungu, nzuri sana na ni dawa
  8. E

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Korea Kaskazini haishambuliwi kwa kuwa na tishio la silaha za Kinyuklia

    Sababu ya kamdomo... india, pakistan mbona hazishambuliwi.
  9. E

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kabisa kwamba Israel inaweza kuwa na majasusi wenye asili ya Kiirani, au hata Wayahudi wenye uraia wa Iran

    Sio inawezekana, ndivyo ilivyo.. wayahudi washiawahi kukaa hapo kama watumwa.. lazima waliacha mbegu hapo.. hata egypt pia.. tunachukuliaga poa history ya kwenye Bible
  10. E

    JamiiForums Tanzania 25% ya nobel prize wameshinda Waisrael wakati dunia yote ni 75% tu! Hawa watu walichaguliwa na Mungu

    Hao babu zetu wengi wao walikuwa wapenda starehe.. hawajatuachia chochote.. sana sana bado wanataka tuwachinjie mbuzi hata baada ya kufa kwao
  11. E

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea kwa Muna love?

    Yule mtoto Patrick aliyefariki alikuwa anakandikwa mapiko na mablack kwenye nywele hata miaka 5 sidhani kama alikuwa kafika.. mixer ma make ups na mapicha picha mengi mtandaoni.. hivi hayo makemikali hayana madhara kweli kwa watoto?
  12. E

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mkenya anamiliki pori linalofuga wezi na majambazi Kibaha misugusugu mtaa wa vitendo pori lina heka 350

    Ni majambazi yamevamia pori la mkenya kibaha au pori la mkenya linafuga majambazi huko kibaha?
  13. E

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas waanza kuuana wao kwa wao!! Malipo ni hapa hapa duniani!!

    Na hapo ndipo Israel anapowazidi waarabu.. Sasa ndugu wa huyo jamaa anayeuliwa hadharani wakitangaziwa dau la maana na Israel watoe taarifa kuhusu maficho ya kiongozi wa hamas watakataa kweli?
  14. E

    JamiiForums Tanzania Sultan Makenga, kiongozi wa M23, alikuwa anatafutwa Congo. Kisha akaita kikao kuwaamuru wanajeshi wa SADC kuondoka DRC

    Sio mtaalamu sana ila nahisi kipindi kile JK alienda kupigana kabisa upande wa serikali ya Congo.. Hii sasa hivi wana observe tu kama walivyokuwa majeshi ya ufaransa kipindi flan zamani hapo drc
Back
Top Bottom