Recent content by Easy E

  1. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Shida kule ni kabila moja... mashamba ya kahawa yale ya kiukoo... hawauzi labda uende na mtonyo mrefu sana.. Bora utimkie zako Ngara, huko angalau oya oya kwa sana na mashamba yapo ya kutosha na angalau kuna mchanganyiko wa watu.
  2. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Haizidi Kyerwa... mapato yanayokusanywa kyerwa ni madogo sana ukilinganisha na uhalisia... kahawa inavyosukumwa usiku kwa waganda ni hatari... halafu waganda hata hawakagui, debe likijaa tu anatoa mpunga.. ndio maana jamaa wanadondosha sana mijengo kijijini.
  3. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Mbona hii list imejaa halmashauri za kanda ya ziwa nyingi au mimi sijui kusoma
  4. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Hapa inaongelewa Dom mkoa mzima sio jiji la dodoma.. Halafu unajua wanavyokokotoa hii?
  5. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    moshi imezidiwa hadi na muleba, mbona wanakuaga na kelele nyingi.
  6. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Da kaka unalinganisha dodoma jiji na tunduma kweli? Si dharau hizo. Mzunguko/mapato ya ndani kwenye sekta ya ujenzi tu Dodoma jiji unazidi mapato ya ndani ya hivyo vimji ulivyovitaja..
  7. E

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    😆😆 Oya kina nshomile tumetoa wilaya tatu kwenye hiyo list. Usijifanye huoni. Nimeshangaa muleba imeizidi kyerwa na karagwe. Labda sababu ina visiwa vingi. Hiyo misenyi ni wilaya mpya ilikuwa bukoba dc. Mpaka Ngara DC ndani ya nyumba. Ebwana big up sana Kagera. Yale matakwimu ya gdp yanapotosha sana.
  8. E

    Dada wa Wema Sepetu akutwa na hatia ya utakatishaji fedha Marekani

    Jela zaidi ya mwaka mmoja mbaya zaidi
  9. E

    Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe

    Da tunapeana dhambi sheikh 😆😆😆
  10. E

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Mbona kama shule yake imemsaidia maana kaona fursa... si ndio mambo wabongo wanapenda.. Hizi shule zetu wengine zinatufundisha kuajiriwa tu.
  11. E

    Niende Uganda ama Kenya

    Isingekuwa hakutabiriki wakati wa uchaguzi (m7 atatokaga kwa style gani)... ningehamiaga uganda maana watu wao wapo business-oriented sana..
  12. E

    Mirathi ya Kobe Bryant yazua gumzo USA, utajiri wote wagawanywa kwa mke na watoto huku wazazi wakiishi kimaskini

    Kwanza ndio leo nasikia habari za mirathi kutoka kwa mtoto kwenda kwa wazazi... Mzazi mpe maisha ukiwa hai... Yani kwenye budget yako ya matumizi inabidi uweke kipengele cha wazazi (unless wawe ni watu ambao wanaojiweza lakini bado inabidi uwatumie hata hela ya supu)... tena siku hizi rahisi...
  13. E

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Vi-pub vinabamba sana kuliko bar kubwa kubwa
  14. E

    Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

    Du, kwani za watu maarufu zinakua na ac ndani... Maana huku kitaa kuna pisi kali sana na wala hazina gharama kama hizo.
Back
Top Bottom