Shida kule ni kabila moja... mashamba ya kahawa yale ya kiukoo... hawauzi labda uende na mtonyo mrefu sana.. Bora utimkie zako Ngara, huko angalau oya oya kwa sana na mashamba yapo ya kutosha na angalau kuna mchanganyiko wa watu.
Haizidi Kyerwa... mapato yanayokusanywa kyerwa ni madogo sana ukilinganisha na uhalisia... kahawa inavyosukumwa usiku kwa waganda ni hatari... halafu waganda hata hawakagui, debe likijaa tu anatoa mpunga.. ndio maana jamaa wanadondosha sana mijengo kijijini.
Da kaka unalinganisha dodoma jiji na tunduma kweli? Si dharau hizo.
Mzunguko/mapato ya ndani kwenye sekta ya ujenzi tu Dodoma jiji unazidi mapato ya ndani ya hivyo vimji ulivyovitaja..
😆😆 Oya kina nshomile tumetoa wilaya tatu kwenye hiyo list. Usijifanye huoni. Nimeshangaa muleba imeizidi kyerwa na karagwe. Labda sababu ina visiwa vingi.
Hiyo misenyi ni wilaya mpya ilikuwa bukoba dc.
Mpaka Ngara DC ndani ya nyumba. Ebwana big up sana Kagera.
Yale matakwimu ya gdp yanapotosha sana.
Kwanza ndio leo nasikia habari za mirathi kutoka kwa mtoto kwenda kwa wazazi...
Mzazi mpe maisha ukiwa hai...
Yani kwenye budget yako ya matumizi inabidi uweke kipengele cha wazazi (unless wawe ni watu ambao wanaojiweza lakini bado inabidi uwatumie hata hela ya supu)... tena siku hizi rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.