Unaweza kushangaa hii mada kaleta mwanaume. Naombeni wanaume mbadilike msiwaige Dada zetu mambo ya umbea hiyo ni furaha yao wao.inatakiwa tujadili mambo ya maana kidogo,afadhali ungeleta mwenendo wa msanii mwenyewe kwenye bongo fleva , sahv Nigeria wanazidi kitupiga gape kwenye mziki kutokana...
Kiukweli nimekuwa mfatiliaji wa haya matamasha lakini tuacheni ushabiki wasafi festival ndio tamasha bora kwa mwaka huu hii ni kutokana na A list ya wasanii wanaofanya vizuri mwaka huu kiribia wote wanatoka wasafi alafu katika swala la mauzo ya ticket wasafi ndio wanaoongoza kwanii ukifatilia...
Hakuna anayebisha hii ndio ngoma Kali ya kufungia mwaka. Huu wimbo kiukweli ni mkali kutokana na jinsi walivyotambaa na beat, baada ya Harmonize kuingiza verse ya kwanza kisha Rayvanny kuingiza inayofatia, kiukweli kabisa Rayvanny alikuwa amemfunika Harmonize lakini baada ya Harmonize kuingiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.